BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
HakikaHuku kwetu ujinga ni mwingi, na wajinga wengi ndio tunawaita viongozi!!.
Huku kwetu ujinga ni mwingi, na wajinga wengi ndio tunawaita viongozi!!.
Hata pale serikali inapotimiza wajibu wake isifiwe tuWaganda wanadharau sana ni muhimu kutambua mchango wa serikali ya mseveni katika kuwafanya wao kuingia afcon
Kwenye msiba wao King Kikii kuna picha yakeUganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa kule kwetu, nahisi mida hii tusingelala kungekuwa kuna Jam kwenye TV na radio za kuabudu na kusifia, TShirt zenye picha ya Mama zingetengenezwa.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.
View attachment 3152819
Ile ni Uganda na hii ni Tanzania hiyo tu inatofautishaUganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa kule kwetu, nahisi mida hii tusingelala kungekuwa kuna Jam kwenye TV na radio za kuabudu na kusifia, TShirt zenye picha ya Mama zingetengenezwa.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.
View attachment 3152819
Wangekuwa Waganda wanajitambua wasingekubali kutawaliwa na familia moja ya Museveni kuanzia mwaka 1986 hadi leo.Waganda wanajitambua.
Watamani tuwaige Uganda.Uganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa kule kwetu, nahisi mida hii tusingelala kungekuwa kuna Jam kwenye TV na radio za kuabudu na kusifia, TShirt zenye picha ya Mama zingetengenezwa.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.
View attachment 3152819
Tanzania kodi za wananchi tunatumika kwenye mpira kutoa zawadi kama za binafsiUganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa kule kwetu, nahisi mida hii tusingelala kungekuwa kuna Jam kwenye TV na radio za kuabudu na kusifia, TShirt zenye picha ya Mama zingetengenezwa.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.
View attachment 3152819
Sisi tunaobadilisha viongozi tunawazidi nini?Wangekuwa Waganda wanajitambua wasingekubali kutawaliwa na familia moja ya Museveni kuanzia mwaka 1986 hadi leo.
Aiseeeee!!!Kwenye msiba wao King Kikii kuna picha yake
Kuna tofauti gani kutawaliwa na chama kimoja CCM tangu uhuru na kutawaliwa na chama kimoja NRM na raisi moja tangu 1986.......mbona ni yale yale tena ya uganda kuna unafuu bidii za kumuondoa zipa ila hapa sioni CCM inaondolewa hata iwe miaka 50 ijao.Wangekuwa Waganda wanajitambua wasingekubali kutawaliwa na familia moja ya Museveni kuanzia mwaka 1986 hadi leo.
Tunawazidi kiuchumi,kielimu,kisiasa na kiutamaduni.Sisi tunaobadilisha viongozi tunawazidi nini?