NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

daaaaah..umenikumbusha mbali ndgu...
Rontgen alikuwa msenge snaa...huyu naye alikuwa mchawi wa electromagnetic spark...aligindua X-rays ambazo mpka leo ndo zimeleta utaaalam wa utengenezaji wa machine za X-ray , MRI, CT- scan n.k....
huyu naye ni Alliens by nature..

jaman hawa watu walipata bahati ya kuwa incontact direct na extraterrestrial organisms kama Alliens ,humanoid na Reptillian figures ambazo zilikuwa zinahustle kutafuta resources huku dunian kwani ilikuwa ngumu wao kufanya uvamiz kinyemela ndo mana wakaanza kupandikiza DNA zao kupitia hizo contact na free human race na badae ndo wakapatikana hao magenius...

ila kuna kltafiti nyingi zimefanyika kwa siri kuhusisha DNA za hao akina Leonando da vinci,isac newton,na akina Nikola tesla kuwa wazazi wao hasa baba zao walikuwa na different DNA sequence arangement tofaut na hao watoto wao...ila sequence DNA ilifanana na mama zao kwa hiyo moja kwa moja unagundua kuwa mama zao walikuwa wanakutana kimwili na hao Aliiens (angels) bila kujijua au kwa kujua kabsa lakini waliogopa kuuambia uma juu ya matukio hayo kwani pengine wangeweza kueleza jamiii juu ya matukio hayo pengine wangetengwa kuhofia kuja kuzaaa watoto najisi au kuzaaa mashetani kwa hiyo walikaaa na hizo siri zao mpka kufa kama hata mama zet wanaozaaa watoto nje ya ndo yan huwez ukajua mpka pale mama atakapokueleza kuwa ukweli ni kwamba huyu sio baba yako ,baba yako alikufa kitambo au yupo sehemu lakini mimba niliipata nikiwa tayar kwebnye ndoa ..kuogopa kuachana na baba yako kutokana na sababu flani ndo unakuta mama anamua kumute kimya na kumtegeshea baba mwingine kuwa mlezi...nimefuatilia most of genius baba zao waliwakataaaa na kuwagundua mapema kuwa sio watoto wao ..kwa mfano fuatilia conspiracy nyingi za Nikola tesla utagundua mengi yeye mwenyew anakwambia there are pipo of another planet who are more intelligent than us...
yan dogo alikuwa nasema ukweli he was not of this world...he came by chance
..hivi una akili gani mpka uone electromagnetic waves..

unajua qatu wengi hawawezi elewa mambo aliyokuwa anayafanya huyu mdudu....alikuwa mtu wa kwanza kuinvet hydroelectric power kwa kutumia Turbine alizozitengeneza yeye mwenyewe ..

ukipata muda tembelea mapolomoko ya KIHANSI WATER FALL ( KIHANSI HYDROELECTRIC POWER YAPO IFAKARA MOROGORO) Uone jinsi umeme unazalishwa underground mita 1800 toka usawa wa bahari chini ya mlimi umbali wa tunnel yenye km 2 ndo wameweka mitambo hiyo inayozungushwa kwa velociyy ya maji daaaaaah....it is amazing brothers..nimefika kule chini yan nikashangaaaa snaa jinsi mitambo ilivyo..yan maji to electricity sio technologia ndgo kama unavoimagine kwenye kichwa chako kuna some electrical convertion DC to AC daaaah..jamaaaa niliamini kweli alikuwa na bongo la dunia nyingine...
so nawaomba sana msikae mnapoteza muda kujiuliza huyu mtu au hawa watu veepeeee...mbona leo hii hawapo..unambiwa walitebgenezwa kwa muda kuclear way ili kuunda uhusiano mzuri kati ya Alliens himanoid na binadamu real ili badae humanoid hao wasipate shida snaa kuja kupakua na kupeleka madini adimu kama Almas ,dhahabu,copper na mengine muhimu ambayo kimsingi ndo core of electrical conductivity...inavyosemekana lakininkuwa et kiu kubwa ya Alliens ilikuwa ni kutaka kuchukua mitambo yao ambayo waliiacha katikati ya dunia yani wameeizika chini(underground) kwani inaaemekana kuwa hapo zamani walikuwa wanakaaa hapa hapa duniani but ilidokea vita kubwa sna aikasababisha mlipuko mkubwa wa kemikali iliyokuwa inawabadilisha ngozi na kuwa majitu mengine ndo wakaaamua kujizika underground na ndo mana mitambo yao mingi ipo underground ...ndo mana unambiwa hata maabara kubwa za dunia zipo underground ,tazama Area 51 ,arizona,Rosswel n.k kwa hiyo kuna link ya hiyo kitu na kuna baadhi ya tafiti zimefanyika zikagundua kuwa et hao alliens hawako mbali na dunia hii bali wapo chini ardhini ila hawawez kuja juu kwani hali ya atmoaphere yet bado ina gaa impurity nyingine ambazao baso zinafanya reaction na body morphology yao..kwa hiyo kizazi kilichofuata bada ya kuaundergo evolution kilikiz hali ta hewa ya hapa diniani ambacho kizazi hiki ndo cha human race (sisi) kwa hiyo hawa jamaa bado wanacraim kwamba hii dunia ni yao nso mana wanafanya kila njia kuhakikisha tena inabaki mikononi mwao kwani bado mitambo yao iko chini ...

ni ubuyu lakini....
 
Mi siamini hii mambo labda kama na wewe ni mmoja wa hao aliens
 
Mi siamini hii mambo labda kama na wewe ni mmoja wa hao aliens
utakuja kujua too laite...endeleeni kuumiza vichwa....usitegemeee kuzaa mtoto kama yule karne hii...unless otherwise you are not belonhing to among 13 high families brotherhood....huko ndo wanazaliwa hao watoto coz tayr hizo familia zimetokana na hiyo hybrid ya hao Viumbe ila wengine endeleeni kuzaaa kizazi kilichonikita na uzinzi uliotukuka[emoji3] [emoji3] yan kizazi hiki tabu sana....
 
Kwali mkuu mm nazijua kama mbili 2 ila nitajaribu kuzifuatilia kama rockerfellers,rothschilds na royal family ya british ....nyengine nitazisoma
 
Mi siamini hii mambo labda kama na wewe ni mmoja wa hao aliens
Unajua ni kuwa mpaka kuja kuelewa kwamba kuna viumbe vinaishi ambavyo si vya dunia h utakuwa umekaa sna na vile hauamini ni hivi inavyosemekana marekani imeingia ubia (trity) na type flani ya alien race wanajiita the great elders wameunga ki2 inaitwa the league of five ambapo hao alien wamesema wanataka kuiprotect dunia from invader aliens kama reptilians na alpha draconians ambao kwao ni villains ni hivyo 2 kwa uchache
 
Wote hawa wanasubiri kwa Tesla....the guy has done so many things...
Tesla yuko vizuri ila ungemfuatilia mw aliye invent flying machine in 17th century mchoro wa kifaru(tank) ,machine za kuhemea ndani ya maji ,autoloaded war bombs,first drawing of an embryo,first blood transfussion(he was group o indeed), the man who study a language in 2 days, a drawing that have many secrets that are not yet revealed by our normal technology(mona lisa) ,he was the one with all talents in the world LEORNADO DA VINCI
 
Kwa kuunganisha kwangu matukio na kuongeza na knowledge uliyoitoa nimepata mwanga kwani kuna mchoro ambao da vinci aliuchora unaitwa (MADONNA OF THE HILLS) nadhani ambapo unamuonyesha virgin marry akiwa na watoto wadogo kama watatu hivi ambapo yuko nao maeneo ya mabondeni na kuna mchungaji anayechunga mbuzi maeneo hayo akiwa anaangalia ki2 juu kwa miaka mingi wa2 waliamini alikuwa akiangalia jua ila imekuja kuonekana kwamba kifaa kile ni flying saurcer shaped plane(UFO) ambapoa kama inavyojulikana ni ALIENS tu ambao wanatumia usafiri wa aina hiyo kumbuka picha hiyo ilichorwa 18th century kipindi ambacho science ni changa na bado haijawa kubwa wa2 walikuwa wana love of art ndo ki2 kilichopewa thamani sana ALAMSIKI
 
samahani wakuu, hivi NIKOLA TESLA unaweza kumuweka kundi moja na mtu kama LEONARD DA VINC..?
Hapana Boss ni watu tofauti Da vinci aliishi miaka ya 1430 huku Tesla akiishi miaka ya 1855 ivi, Da vinci was Polymath, But N Tesla alikuwa specific kwenye Umeme na Electronics, Nikisema Da vinci alikuwa Polymath namaanisha ali involve katika field nyingi nyingi sana The best tarent was Painting He was a good Painter of all time Tafuta book inaitwa Da Vinci Code ameandika Dan brown ndo utaona Da vinci was a gift man. Nae hakuoa pia as Tesla na zipo za Chini chini zinasema Da Vinci alikuwa Gay
 
Well said
 
shukrani mkuu, da vinc and tesla nawakubali sana
 
sio ni non scientific proved ni kwamba itachukua mda kuja kuprove
kama gravitational waves Einstein aliongelea 1916 ikaja kuwa proved baada ya miaka 100
 
ni vigumu kuwa pata kutokana na kuzungukwa na jamii ambayo mwanzo wa jambo wanalo taka kulifanya wao ubomoa.kama wakifikisha wanacho kifanya kwa kwa tabu ndo tuna wakubali.
mfano marehemu stive job
ukifatilia alipata tabu alichekwa lakini alifika kwa kukata tamaa na ilibidi kutumia akili ya ziada
 
Ahaaaa aaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…