KERO Nikwamba wafanyakazi wa Tanesco hawana nyimbo zingine tofauti na nyimbo za matusi wanazoimba kila leo wakiwa site?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Status
Not open for further replies.
Imba kidogo tusikie
 
Mmmh basi poleni serikali sikivu itaifanyia kazi hii KERO
 
Niliwahi shuhudia wana kwaya wa dhehebu fulani wanakimbia kama wamefukuzwa walikuwa zoezi na jamaa wanaweka nguzo zoezi la kwaya yao liliishia hapo wakabaki wanaume pekee kurudisha ndani vyombo vyao vya mziki

kilichokuwa kinafanyika nyimbo ya dini inageuzwa kuwa tusi kana kwamba wameshawahi imba tangiapo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…