zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Imba kidogo tusikieNdio maana unasema. wao hata nguzo inasimikwa kando ya kiwanja chako na wanaweza kuja kuomba maji hapo kwako wanakuona unawaona unawasikia wanakusikia lkn wataimba matusi yote hadi kazi iishe! mara nyingi huwa tunakimbia miji yetu kuwapisha yaani ukiwaona hao hapo wee toka kwako kama ulikuwepo tu
Shida kubwa ni aibu kwa familia hasa mkiwa jinsia tofauti ama una wageni aiseeYaan ili kazi ziende Kwa haraka,
Otherwise ufanisi unapungua sana kazi ya siku moja inafanyika siku tatu
Ni matusi mwanzo mwisho kaa mbali Wanaume wapo kaziniWananyimbo Zao kila sehemu mkuu huku wanaimba hadi kisukumu asee. usiombe wakukute nyumbani
angalia comment no21 kuna link na comment za juu yakeImba kidogo tusikie
Kuna nyimbo ilikuwa inaimbwa ya mama Sarah hala mama sarah yupo hapohapo kitaa ni mkaanga samaki alienda kuwalilia nimewakosea nini ninyi vijana.Imba kidogo tusikie
Hatari hii....Kazi ngumuu ni kazi za laana
Bila matusi haziendi.
Tunajenga gorofa.ila 100% si mafundi.wala labours wenye mdomo msafi,kabla Ya saa 2 asubuh tuna kuwa watu wema SanaaHatari hii....
Mmmh basi poleni serikali sikivu itaifanyia kazi hii KERONdio maana unasema. wao hata nguzo inasimikwa kando ya kiwanja chako na wanaweza kuja kuomba maji hapo kwako wanakuona unawaona unawasikia wanakusikia lkn wataimba matusi yote hadi kazi iishe! mara nyingi huwa tunakimbia miji yetu kuwapisha yaani ukiwaona hao hapo wee toka kwako kama ulikuwepo tu
Ni hatari sanaKama wanasimika nguzo utaskia chomeka,chomeka,chomeka ingiza yoteeeee
Wacha kabisa yaani kutokana na ulivyolelewa unajikuta hupendi kusikia hayo matusi na yalikuwa mapya kwelikweli kwa maeneo yale. Ole wako ionekane umesogea karibu na kazi yao hata ya kushusha nguzo tu kwenye Gari. Ukirudi home kinaumana😀😃🤣🤣🤣Kama nakuona ulivyokuwa unaweweseka
Niliwahi shuhudia wana kwaya wa dhehebu fulani wanakimbia kama wamefukuzwa walikuwa zoezi na jamaa wanaweka nguzo zoezi la kwaya yao liliishia hapo wakabaki wanaume pekee kurudisha ndani vyombo vyao vya mzikiWacha kabisa yaani kutokana na ulivyolelewa unajikuta hupendi kusikia hayo matusi na yalikuwa mapya kwelikweli kwa maeneo yale. Ole wako ionekane umesogea karibu na kazi yao hata ya kushusha nguzo tu kwenye Gari. Ukirudi home kinaumana😀😃
🤣🤣🤣Wacha kabisa yaani kutokana na ulivyolelewa unajikuta hupendi kusikia hayo matusi na yalikuwa mapya kwelikweli kwa maeneo yale. Ole wako ionekane umesogea karibu na kazi yao hata ya kushusha nguzo tu kwenye Gari. Ukirudi home kinaumana😀😃
Wao kutwa wanataja viungo tu yaani ili nguzo inyanyuke lazima wataje kiungo/viungo vya uzazi hadharani halafu kwa sauti ya juu 😀
🤣🤣🤣 Tena kwa sauti kubwa na kwa kupokezanaWao kutwa wanataja viungo tu yaani ili nguzo inyanyuke lazima wataje kiungo/viungo vya uzazi hadharani halafu kwa sauti ya juu 😀
Alisemaje?Jana nimemuhoji mjomba wangu mtu wa huko . Kanidadavulia vizuri.
Halafu kila mmoja ikifika jioni anaenda kuitwa baba huko nyumbani kwake😃🤣🤣🤣 Tena kwa sauti kubwa na kwa kupokezana