Niliahidi kuja na 'Exclusives' Saba (7) Saa 3 hii sasa naweka Mambo yote hadharani...

Wadau amkene mkuje Kwa huku Kuna mambo mazito,na mtufungue macho zaidi bila kuwa sahau Wana Lunyasi lialia🦁🦁🦁🌘
 
Your article is too personal to be believed by any sober person.
Hayo yote ni matokeo ya kukosa kunyanyua kwapa msimu huu,mbaki na kula kichwa Cha Pablo,Sasa mnataka kuivunja timu kabisa 🤔
 
Pumba express, huyu Mo ajiuzuru mara ngapi? Nafasi yake si kamuweka Try again?
 
mwanaume mwenye mke dizaini yako,kazi anayo!
 
"Kuwekeza ndani ya Simba SC tena kwa Fedha mara Tatu ya aliyoweka Mo Dewji."

Kwani Mkuu MO dewji aliwekeza kiasi gani?
 
Kwahyo CEO anabanduliwa na Eng Hersi na sio Mo aliemuhonga uCEO!!!!
 
Sasa ngoja muda ufike utajua hujui🏃🏃
 
Kwa hiyo umeamua kufukua makaburi,kama bwai na iwe mbwai sio,je wanalunyasi 🦁watakuelewaaa🤔
 
Maneno mbofu mbofu ni maneno ambayo huwezi kuthibitisha popote
 
Kwahyo CEO anabanduliwa na Eng Hersi na sio Mo aliemuhonga uCEO!!!!
Mo hakujua na kaja kujua baadae na kuamua tu nae Kushea 'Kibaiolojio' na Mtoto wa Fire Kariakoo Injinia Hersi Said.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…