Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Cc siyo ishu Kuna kigari kinaitwa Mazda Rx8 kina 1300cc lakini balaa lake Ni zito kinazalisha Horses 200+Yaani cc 1990 umuache wa Vanguard, labda hakuwa kwenye ligi yako wewe ukadhani mko kwenye ligi.
Dar-Singida 721kmsInawezekana ni kweli mkuu..
Km540 ÷ Lita 55 unapata 9.8 tukikadiria imakuwa 10...
Hii inamaana kila KM10, alitumia lita 1 ya mafuta vile alikuwa anafanya ligi..
Ingekuwa si ligi huenda angepata Km 12 mpka 14 kwa lita 1..
Kipindi fulani nyuma Niliwahi kununua nissan Murano nikaelezwa ni la kike. Sijui huwa mnaangalia nn kufikia hitimisho la jinsia ya gari.Alichosema ni kweli Dualis ni gari ya kimanzi! Ilivyokaa kaa tu imekaa kama kigari flani cha mdada classic kama teller wa bank au afisa mahusiano Voda!
Yani we dume zima ukaenda kununua Murano aisee 😅😅😅 ulifeli kwa hakika ile gari imekaa kimanzi purely. Yani gari ya kimama mno mzee baba unaonekana umevaa sketi na wigi ukishuka kwenye Murano!Kipindi fulani nyuma Niliwahi kununua nissan Murano nikaelezwa ni la kike. Sijui huwa mnaangalia nn kufikia hitimisho la jinsia ya gari.
Yani we dume zima ukaenda kununua Murano aisee 😅😅😅 ulifeli kwa hakika ile gari imekaa kimanzi purely. Yani gari ya kimama mno mzee baba unaonekana umevaa sketi na wigi ukishuka kwenye Murano!
Ulifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.Sioni hoja hapo😂😂😂.
Yaani wewe Jinsia yako inakuwa affected na mambo madogo madogo kama aina ya gari unayotumia?
Ina maana siku ukiendesha Murano ndo basi tena wewe🤣🤣
Kwa upande wangu mm ni mwanaume nikiwa kwenye V8 au Murano, haijalishi. Nilitumia sana hiyo Murano na sikuona tatizo wala kujihisi nimepunguza uanaume.
Grand cherokee ya ukweli sana.Ulifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.
Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Ile ndio gari mzee alitakiwa Mond aagize ukiachana na CadillacGrand cherokee ya ukweli sana.
Kwa maelezo yako ina maana vanguard, rav four third generation, harrier second generation, ist, raum, passo ni gari za wadadaIle ndio gari mzee alitakiwa Mond aagize ukiachana na Cadillac
Gari za kimama??[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ulifeli mzee baba[emoji28][emoji28][emoji28] usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.
Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Umenisahau shabiki wa VW ambapo hata BMW anakatwa kasimama wakati kafuta kisahani cha 260Ulifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.
Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Kwanza mjapan kaonesha mahali kuwa hizi gari ni za kiume au kike??Sioni hoja hapo[emoji23][emoji23][emoji23].
Yaani wewe Jinsia yako inakuwa affected na mambo madogo madogo kama aina ya gari unayotumia?
Ina maana siku ukiendesha Murano ndo basi tena wewe[emoji1787][emoji1787]
Kwa upande wangu mm ni mwanaume nikiwa kwenye V8 au Murano, haijalishi. Nilitumia sana hiyo Murano na sikuona tatizo wala kujihisi nimepunguza uanaume.
Utakuwa unasukuma Raum wewe[emoji16][emoji16][emoji16]Hahahahah mtoto Witty anapenda SUV sana ndio tatizo!
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]Kabla ya barabarani ,ulikuwa unaitest wapi mkuu.
Alikuwa anatembea nalo mfukoni itakuwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hujakosea mama mrembo, nina Raum namba B tunafika hata Mwanza full ACUtakuwa unasukuma Raum wewe[emoji16][emoji16][emoji16]
Huyo mjeshi ulimwangalia vizuri?.Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Upadates:
Dar Es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank
Murano ni ya kike labda extailDualis gari ya kike hio mwanaume endesha murano, xtrail