Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Kipindi fulani nyuma Niliwahi kununua nissan Murano nikaelezwa ni la kike. Sijui huwa mnaangalia nn kufikia hitimisho la jinsia ya gari.
Yani we dume zima ukaenda kununua Murano aisee 😅😅😅 ulifeli kwa hakika ile gari imekaa kimanzi purely. Yani gari ya kimama mno mzee baba unaonekana umevaa sketi na wigi ukishuka kwenye Murano!
 
Yani we dume zima ukaenda kununua Murano aisee 😅😅😅 ulifeli kwa hakika ile gari imekaa kimanzi purely. Yani gari ya kimama mno mzee baba unaonekana umevaa sketi na wigi ukishuka kwenye Murano!

Sioni hoja hapo😂😂😂.

Yaani wewe Jinsia yako inakuwa affected na mambo madogo madogo kama aina ya gari unayotumia?

Ina maana siku ukiendesha Murano ndo basi tena wewe🤣🤣

Kwa upande wangu mm ni mwanaume nikiwa kwenye V8 au Murano, haijalishi. Nilitumia sana hiyo Murano na sikuona tatizo wala kujihisi nimepunguza uanaume.
 
Sioni hoja hapo😂😂😂.

Yaani wewe Jinsia yako inakuwa affected na mambo madogo madogo kama aina ya gari unayotumia?

Ina maana siku ukiendesha Murano ndo basi tena wewe🤣🤣

Kwa upande wangu mm ni mwanaume nikiwa kwenye V8 au Murano, haijalishi. Nilitumia sana hiyo Murano na sikuona tatizo wala kujihisi nimepunguza uanaume.
Ulifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.

Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
 
Ulifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.

Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Grand cherokee ya ukweli sana.
 
Jamani huku yupo Mbunge Mchungaji Gwajima anakokota Hammer Bungeni ni matata zipo 2 anabadili hata spika anazima muziki wake, moja ni ile ndefu sijui ina sebule yaani basi tena wakimjibu na hapo atatua na chopa
 
Ulifeli mzee baba[emoji28][emoji28][emoji28] usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.

Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Gari za kimama??[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ulifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.

Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Umenisahau shabiki wa VW ambapo hata BMW anakatwa kasimama wakati kafuta kisahani cha 260
 
Sioni hoja hapo[emoji23][emoji23][emoji23].

Yaani wewe Jinsia yako inakuwa affected na mambo madogo madogo kama aina ya gari unayotumia?

Ina maana siku ukiendesha Murano ndo basi tena wewe[emoji1787][emoji1787]

Kwa upande wangu mm ni mwanaume nikiwa kwenye V8 au Murano, haijalishi. Nilitumia sana hiyo Murano na sikuona tatizo wala kujihisi nimepunguza uanaume.
Kwanza mjapan kaonesha mahali kuwa hizi gari ni za kiume au kike??

Yaaan wabongoo[emoji848]
 
Heshima kwenu wakuu.

Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)

Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.

Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu

Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.

Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)

Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,

Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa

Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.

Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.

Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.

Upadates:

Dar Es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank
Huyo mjeshi ulimwangalia vizuri?.
 
Back
Top Bottom