Naweza kuelezea nikaonekana mganga ila nilizizindua na wapo wataalamu wa hayo mambo
Yupo uchumi wa kati sasa hivi🤣Kwa hiyo una level gani ya maisha sahivi?
Mkuu, swali ni hili; uliwezaje kujizingua na hiyo dawa ya "ndere", je ulirudi tena kwa yule mganga au dawa ili-expire with time??!. Hilo ni swali muhimu kufanya watu tujifunze pia kuzidi kuinogesha mada yako.
Dawa ikiisha atapigwa atachakaa 🤣🤣🤣Duu mapenzi ya hivyo hapana mie siyataki kabisa, siku ikiisha hiyo dawa anaenda ku update?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja mkaaa ukoleeeHata avatar yako inaonesha wewe bado Ni bomu na mda wowote unaripuka
kmmmk 🤣🤣🤣🤣🤣 ungeflwa mbwa wewe, acheni hizo mbanga!!!We jamaa umenikumbusha nilikwenda kwa mganga alinichanja sehemu nyingi ila kuna mahala alifika alitaka kunikera ila nilikuwa sina namna.
Alifikia nyuma ya kiuno juu ya makalio ambapo alishuka zaidi na kuniomba nivue bukta nikavua akaniomba nivue SanLG nikavua akapapasa makalio akachanja karibu kabisa na jicho du ilifika hatua nikawaza yaani huyu mpuuzi akinitia kidole au akiingiza dubwasha lolote hapakaliki.
Nadhani kuna muda aliingiza kidude flani sijui kilikuwa nini.
Ukiingia jf uwe unasalimia ma braza! Watoto mliozaliwa 2000's mnazingua sana humu.Noti ya blue ya sh.10,000/=!
Mwaka gani huo?
Maana hii nyekundu na tembo tembo zake ni beyond 20yrs.
Nmecheka kinoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] unatuuliza sisi aliingiza dude gani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]! Wakati wewe ndiye ulikuwa naye huyo mganga ungemuuliza mtaalamu umeinhiza nini hicho haaa haaa
Eeh atakuwa dogo sana huyo!Hajatumia noti ya bluu
Ni kweli hata bila ushirikina warembo wapo wengi ila kwa wakati ule utoto na kutokujiamini ndiyo ilikuwa tatizo kwetu.
What about you whites?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watoto wa 20000'nini!Ukiingia jf uwe unasalimia ma braza! Watoto mliozaliwa 2000's mnazingua sana humu.