Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Mistari mitano ya Biblia inayotaja “ziwa la moto” inalionyesha kuwa ziwa la mfano, si ziwa halisi. ( Ufunuo 19:20; 20:10, 14, 15; 21:8 )

Wafuatao watatupwa ndani ya ziwa la moto:
Ibilisi. (Ufunuo 20:10 ) Kwa kuwa Ibilisi ni kiumbe wa roho, hawezi kuumizwa na moto halisi.—Kutoka 3:2; Waamuzi 13:20 .
Kifo.

(Ufunuo 20:14 ) Kifo si kitu halisi lakini ni hali ya kutotenda, kutokuwepo kwa uhai . (Mhubiri 9:10 ) Kifo hakiwezi kuteketezwa.

Mnyama-mwitu” na “yule nabii wa uwongo.” ( Ufunuo 19:20 ) Kwa kuwa vyote viwili ni vitu vya mfano, je, haipatani na akili kufikiri kwamba ziwa hilo pia ni la mfano?—
Ufunuo 13:11, 12; 16:13 .
Yani hapo unataka kutumia kitabu cha hadithi ,kunifundisha kuamini kitu kisicho kuwepo kwa vitisho na ahadi.
 
Haunijui ,sikujui , kitabu hicho hakina uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwanza kina mikanganyiko ya kutosha .



1. Mathayo 25:41
Yesu anasema, "Ndipo atakapowaambia wale walio kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake." Mstari huu unazungumzia moto wa milele kama adhabu kwa wasiomtii Mungu.


2. Ufunuo 20:10, 14-15

"Na yule Ibilisi aliyewapotosha, akatupwa katika lile ziwa la moto na kiberiti..."
Na tena: "Kisha mauti na kuzimu vikatupwa katika lile ziwa la moto. Hili ndilo mauti ya pili, yaani, lile ziwa la moto."


3. Marko 9:43
Yesu anasema, "Kama mkono wako unakukosesha, ukate. Ni afadhali kuingia katika uzima umepungukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili ukaenda katika Gehena, kwenye moto usiozimika."


4. 2 Petro 3:7
"Lakini mbingu za sasa na dunia zimewekwa akiba kwa moto, zikiwekwa kwa siku ya hukumu na uangamivu wa watu wasiomcha Mungu."
Adam alipotenda dhambi Mungu alimwambia umetoka mavumbini na utarudi mavumbini. Maana yake atakufa. Na pia
Hakusema atampeleka Mbingun au Motoni.
 
Adam alipotenda dhambi Mungu alimwambia umetoka mavumbini na utarudi mavumbini. Maana yake atakufa. Na pia
Hakusema atampeleka Mbingun au Motoni.
Adamu ni hadithi ya kubuni tuliletewa na wakoloni miaka ya majuzi tu , tena babu zako wengine walikatwa mikono ili waziamini
 
Mkuu mpaka hapo nadhani umeelewa.
Hivyo vitabu vyenu vya sayansi vinasemaje kuhusu uumbaji wa Viumbe au ndio story zenu za volcano na matetemeko
Bado haithibitisha uwepo wa Mungu zaidi ya maneno ya kiimani ambayo bado yapo kwenye box la hayo mapokeo yako , akija pia wa imani nyingne nae atasema ya kwake.

Binafsi sina sababu ya kuamni hizo habari za Mungu , habari ya sayansi sijaizungumzia mimi.
 
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.

Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.

Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
Siku ukijua kuwa shetani pia ni huyo huyo baba yako uje kutuambia pia
 
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.

Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.

Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
Pamoja na yote unayopitia, nakusihi sana kwa neema ya Mungu shika sana ulichonacho asije muovu akakupotosha! Ulikuwa vizuri sana hapo mwanzo huku unakoelekea siko! Unapotea. Rudi kwa Yesu!
 
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.

Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.

Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
UGORO UKICHANGANYA NA BANANA LAZMA UWE MWEHU
 
Mungu anajidhihirisha kwetu kupitia sheria ya asili, kupitia uumbaji wake, kupitia Neno lake, na kupitia Roho Mtakatifu . Yesu Kristo anawakilisha utimilifu wa Ufunuo wa Kiungu. Kinachoweza kujulikana juu ya Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu alidhihirisha kwao.
Haya yote ni wewe unajaribu kumwelezea huyo Mungu kwa vile Hayupo na hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe na kujielezea mwenyewe.
 
Viumbe vyote vilivyo hai vina DNA zinazofanana, ile “lugha ya kompyuta” au mfumo unaoongoza umbo na utendaji wa chembe.
Swali: Je, kufanana huko hakuwezi kuwa si kwa sababu vinatokana na mzazi mmoja, bali kwa sababu vina Mbuni mmoja?
Kwamba DNA yako na ya mbuzi zinafanana kwa vile pia mbuzi ni kiumbe hai?
 
Mungu hakukuumba kama robot, una uhuru wa kuchagua jema au baya.
Kama tuna uhuru wa kufanya jema au baya. Pia huyo Mungu ni Mbaya vilevile kwa kuruhusu watu kuwa huru kuweza kufanya mabaya.
Hiyo adhabu ya siku ya mwisho ni ipi?
Kulingana na maandiko yenu ya kidini ya Biblia. Adhabu ya siku ya mwisho ni moto wa milele.
 
Pamoja na yote unayopitia, nakusihi sana kwa neema ya Mungu shika sana ulichonacho asije muovu akakupotosha! Ulikuwa vizuri sana hapo mwanzo huku unakoelekea siko! Unapotea. Rudi kwa Yesu!
Yesu wa wapi?
 
Siku ukijua kuwa shetani pia ni huyo huyo baba yako uje kutuambia pia
Shetani hayupo, kama vile ambavyo Mungu hayupo. Ni hadithi tu za kubuni ili kumfunga au kumdhibiti binadamu asiweze kufikiria ipasavyo, awe mtumwa daima
 
Back
Top Bottom