Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Shetani naye sindiyo baba yako pia au?Shetani hayupo, kama vile ambavyo Mungu hayupo. Ni hadithi tu za kubuni ili kumfunga au kumdhibiti binadamu asiweze kufikiria ipasavyo, awe mtumwa daima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani naye sindiyo baba yako pia au?Shetani hayupo, kama vile ambavyo Mungu hayupo. Ni hadithi tu za kubuni ili kumfunga au kumdhibiti binadamu asiweze kufikiria ipasavyo, awe mtumwa daima
Shetani ni baba yako wewe. Usilazimishe nduguzo wawe ndugu zanguShetani naye sindiyo baba yako pia au?
Huyo huyo wa wadhambi wote unaowajua na usiowajua! Wakubwa kwa wadogo! Mimi, wewe na kiboko ya wachawi! Yeye ni Mungu wa wote na alitufia wote! Hata hivyo, sikusudii kusema Yesu wa Nazareth alimtuma kiboko ya wachawi kufanya utapeli na uongo na uchawi alioufanya! Yesu ninayemjua ni Mtakatifu!Huyu huyu wa nabii Kiboko ya Wachawi au mwingine
Wewe ni shoga?Hakika Mwanaume ukijua ama Kukaza vizuri Mwanamke au Kumbenjua vizuri Mwanaume Mwenzako hatoacha kamwe Kuwashwawashwa katika Kukutaja mara kwa mara.
Umeelewa ehh🤭Aisee
Tanzania na WatanzaniaNchi takatifu kivipi hivi, tofautisha kati ya Israel nchi na Wana wa Israel
Sikupingi, kuna Mungu na kuna miungu. Mungu anayenadiwa na ngozi nyeupe ni Mungu mkuu lakini ameongezewa sifa za binadamu kitu ambacho kiuhalisia (Mungu) hana.John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.
Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.
Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
Upo na uzoefu mkubwa sana katika hii mishe mkuu. 🤣🤣Hiyo Pombe Ya Ngapi..
Kama Chupa zimefika 20 Mzee Wahi nyumbani maana kitakachofuata Utaanza kulia 🤣🤣🤣
Acha kukufuru. .Mungu wako ni yule anayetawala na kufanya kila kitu na kusifiwa siyo huyu unayemuita Mungu baba bali Mungu mama.John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.
Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.
Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa