To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Amesema hajali Wala niniHaelewi kuwa anajiharibia mtazamo aliokuwa amejijengea humu 😑
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema hajali Wala niniHaelewi kuwa anajiharibia mtazamo aliokuwa amejijengea humu 😑
🤣🤣🤣🤣🙌Hiyo Pombe Ya Ngapi..
Kama Chupa zimefika 20 Mzee Wahi nyumbani maana kitakachofuata Utaanza kulia 🤣🤣🤣
Ccm ikiendelea kukaa madarakani hakuna mtu atasalimika na afya ya akili, ni swala la muda tu.Duh aiseee
Huyo Mungu Baba Yenu Ana upendo kweli? Baba yangu hawezi kuruhusu mimi na Kaka yangu tuuwaneNa sio kila maono unayoyapata basi yote yataonekana mazuri,, mengine yapo kwa ajili ya kukuvuruga kama haya uliyo yapata 😎
Mungu wenu mnamla nyama na kunywa damu yake. Wachawi wakubwa nyie msio na heshima kwa MunguHiyo Pombe Ya Ngapi..
Kama Chupa zimefika 20 Mzee Wahi nyumbani maana kitakachofuata Utaanza kulia 🤣🤣🤣
Acha tuupe muda wakati,, naamini atakuja kukausha hiki alicho kiandika hata kama haitokuwa leo wala kesho 😊Amesema hajali Wala nini
Nini Maana ya "Mungu Baba"Akili huna unajua.nini maana ya mungu na nini maana ya baba?
Ccm ikiendelea kukaa madarakani hakuna mtu atasalimika na afya ya akili, ni swala la muda tu.
Hebu kunywa maji kwanza, Mungu ni cheo, tusikubishie kuna watu Mungu wao jina lake ni Yehova na kuna wengine Mungu wao anaitwa Allah, sasa kama wewe mungu wako ni Karubandike basi yote heri tuHuyo Mungu baba Yenu anajua nini?
Waefeso 6:2-3Acha tuupe muda wakati,, naamini atakuja kukausha hiki alicho kiandika hata kama haitokuwa leo wala kesho 😊
😅🤣🤣🤣Mungu wenu mnamla nyama na kunywa damu yake. Wachawi wakubwa nyie msio na heshima kwa Mungu
Well said bro. I second thisHebu kunywa maji kwanza, Mungu ni cheo, tusikubishie kuna watu Mungu wao jina lake ni Yehova na kuna wengine Mungu wao anaitwa Allah, sasa kama wewe mungu wako ni Karubandike basi yote heri tu
Hongera sana, Uko huru sasa nje ya boksi kuelea bahari kuu isiyo na mipaka ya muda wala nafasi.John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.
Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.
Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
Kumbe hadi amri 10 za Mungu unazijuwa?Waefeso 6:2-3
[2]Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,
Honour thy father and mother; (which is the first commandment with promise😉
[3]Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
That it may be well with thee, and thou mayest live long on the earth.
Hakika Mkuu. Muda wa kuishi maisha ya kasumba na mawazo yenye wingi wa minyororo umeishaHongera sana, Uko guru sasa nje ya boksi kuhelea bahari kuu isiyo na mipaka ya muda wala nafasi.
Utabezwa sana, Ila hakuna furaha kubwa inayozidi ile ya Kujitambua.
Ndio nimeacha sasa kuabudu miungu mingine namwabudu baba yangu katika roho na kweliKumbe hadi amri 10 za Mungu unazijuwa?
Amri ya kwanza ndimi bwana Mungu wako usiabudu miungu wengine