Nilichobaini kwa watu wa Njombe

Nimeishi na kupita maeneo kadhaa huko njombe wilaya ya wanging'ombe kuelekea huko Ludewa Kuna mlima wanaita gangitololi asee ni balaa utatelemkia sehemu wanaita mkiu Kona ya kwenda lugalawa, nilipata na mke huko.
Ulipata mke Mkiu? ni mtoto wa nani?
Huo mlima Gangitoroli kuna mwaka gari la cocacola lilitekwa na majambawazi wakasepa na mauzo yote.
 
Acha uongo mzee kilichopelekea hizo takwimu njombe wanamwamko wa kupima Sana tofauti na mikoa mingine vilevile ni moja ya mikoa yenye hospitali nzuri nyingi
Sasa uongo gani mkuuu takwimu huoni au.....acha ujuaji wa kijinga ....plus njombe kakaangu huko anafanya kazi mtwango halimashauri.......nimekuja mara kibao hapo mtwango wako busy kuzuia maambukizi na kutoa elimu ......takwimu kitaifa njombe iko juuu

So moja ya kazi ya serikali mkoa wa njombe upande wa afya kipaumbale kikuu ni kupunguza maambukizi ya HIV ...pamoja na utapia mlo kwa watoto kama ulikuwa hujui kijana

Pia before sijabishana na na ww una level ipi kielimu nisije kubishana na la saba au form four hapa bure.... ukiwa mbishi uwe unajua dunia hata kusoma kama la saba au form four sijui una certificate usijibu tena kaa kimya
 
Ulipata mke Mkiu? ni mtoto wa nani?
Huo mlima Gangitoroli kuna mwaka gari la cocacola lilitekwa na majambawazi wakasepa na mauzo yote.
Mke nilipata lugalawa ni ndugu na yule father wa parokia ya Roma pale mkiu, anaitwa Ngairo.
 
halafu mabinti zao wana shepu nzuri sana πŸ˜‹. nikistaafu huku niliko nikirudi ukimani nitajitwalia mmoja wa kumalizia maisha
Mzee kama unaenda fainali(uzeeni)tuliaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Usije ukaenda kabla ya muda bado tunakupenda.
 
vipi kuhusu kiwango cha maambukizi ya ukimwi?.hali ipoje njombe?
 
KUishiwa fact ni kuanza ku judge level ya elimu ya mtu off course hai kuu husu sisi ndo tunayo ijua njombe kwenda mtwango si kuijua njombe ndugu tumekupa fact kwanini njombe inaonekana inaongoza kwenye hizo takwimu unaanza kuhangaika na level za elimu
 
Mke nilipata lugalawa ni ndugu na yule father wa parokia ya Roma pale mkiu, anaitwa Ngairo.
Namfahamu, anafuga samaki kule karibu na kanisani Mkiu.
Lugarawa kwenyewe nimeenda sana miaka ya nyuma kupeleka abiria kwa baiskeli kabla ya bodaboda hazijaanza.
 
Namfahamu, anafuga samaki kule karibu na kanisani Mkiu.
Lugarawa kwenyewe nimeenda sana miaka ya nyuma kupeleka abiria kwa baiskeli kabla ya bodaboda hazijaanza.
Sahihi kabisa nimeishi pale Kwa mwezi mmoja. Nikimtrain ufugaji wa kisasa.
 
Ahlaaaaa!😳😳😳😳
We mbena gani unajua kukuna nazi!?
We mzaramo mkuu umeenda kutalii tu huko,fanya urudi Chalinze Njombe hakuna nazi.
Huku pashakua hom mkuu...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Swala la kukuna nazi ni hawa ndgu zangu ndio wataalamu
Mbaga Jr
Intelligent businessman
 
Huku pashakua hom mkuu...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Swala la kukuna nazi ni hawa ndgu zangu ndio wataalamu
Mbaga Jr
Intelligent businessman
πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Haya ndo mambo ya Mbaga Jr na mwenzake Intelligent businessman

* Kuosha viombo vingae na kusugua sufuria kwa weledi

*Kupika pishi tamu kushinda hata mwanamke

*Kufua nguo , tena unakuta anarundika na anaratiba yake maalumu ya kufua na anang'arisha pasi na shaka lolote

* Kuweka chumba katika hali ya usafi wa hali ya juu mpaka mwanamke akiingia anatetemeka

* Kuchambua mboga, kukata mboga, kukata vitunguu, kuchambua mchele , maharage na vitu vingine vinavyofanana na hivyo

* Kupika chai asubuhi na kunywa kabla ya kwenda kazini / kibaruani/ mihangaikoni
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈAiseeee.
Mie simoπŸƒπŸƒπŸƒ huu utani wa ngumi kabisa.
 
Sasa wewe unaona njombe ipo ya ngapi kwenye data za hiv national wide.....mi ndo maana mapomole kama wewe lazima niulize elimu kwanza...... kwanza huwezi tazama hata mtandaoni data za hiv nation wide......usilete ujuaji wa kishamba ...... tunauliza elimu sababu naweza kuwa nabishana na mshamba fulani kupoteza muda ....sijibu tena maana muda kubishana na mapomole kama wewe sina data zipo online mitandaoni kasome....jinga kabisa unabisha kiti kiko wazi....fool

narudia tena changamoto kubwa ya mkoa wa njombe ni maambukizi makubwa ya hiv ...pamoja na utapia mlo kwa watoto ... pia iringa wana tatzo hili

Ujinga sometimes muwe mkija mnauficha sio kila mtu ajue wewe ni ngumbaru ..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈAiseeee.
Mie simoπŸƒπŸƒπŸƒ huu utani wa ngumi kabisa.
Wee ndo mwanzilishi lakini...
Ngoja wakuje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
SSi

Sina Muda kubishana na box
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…