Uje unitafute. Upate Lunch.
 
Siku ukiolewa utadumu kwenye ndoa muda mrefu sana maana umetambua mambo ambayo wenzako hawajatambua, unakuta umetoka kuhangaikia familia unarudi unakutana na kelele za kufokewa bila adabu tena mbele za watu.
Mtusamehe tuuu
 
Kwakweli mwanamke asiyeridhika na asiyekua na shukran ni mwanamke wa hovyo na mzigo mzito kuubeba kuliko gunia la misumari ya inchi 6.
 
Hata wapenz wanatuhudumia vizuri wapewe kiti wapumzike [emoji3][emoji3][emoji3]wanatuokoa mno na Mungu awazidishie
Mungu awazidishie kwa kweli...
Mzidi kutuma miamala[emoji28][emoji25][emoji25]
 
Doooh jamani
 
Nimelia machozi ya furaha kwa maneno yako haya binti yangu .
Kheri ya mwaka mpya .
 

Kama kuna mtu anaona umemkwaza atakuwa kichwa chake kimejaa matope.
 
JUmuiya....???? huu kama msemo mpya/// ๐Ÿ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ