Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mie baba yangu alikuwa kiraka aisee ila hajawahi mshusha maza dhamaniSina experience maah thamani yamtu mwenyew ndo unatengeneza
@Deepond mchepukaji high class lkni sijawahi sikia Uzi wa kumshusha thamni mkewe
Kwa wengine kama wako hivo wajirekebishe Sio jambo jemq
Mungu akutie nguvu. Katika kila gumu Mungu akakupe kulishinda. Pamoja na yote..tunawaombea. MkafanikiweUtakuwa Mama mzuri sama, nimeamka kwa shida sana leo kwenda kazini, ni kama umeniongelea, isingekuwa mke na watoto ningeacha kazi week iliyopita.
WANAUME JUUU JUU JUUU SANAWote tuitikie WANAUME JUU.
Wanaotuheshimu vema na kutudekeza Mungu azidi tu kuwabariki🥰Hata wapenz wanatuhudumia vizuri wapewe kiti wapumzike 😀😀😀wanatuokoa mno na Mungu awazidishie
Kwa mara ya kwanza nimeona mwanamke ameusema ukweli wa wanawake wote, sio kwamba mmekua wazuri wa kupokea wanawake mmeumbwa kupokea mnapokea mpaka mbegu kutoka kwetu wanaume ili mzae watoto bila mbegu hamuwezi kua wanawake maana ili mwanamke aitwe mwanamke inambidi azae, anazaaje? Anapokea mbegu kutoka kwa mwanaume,Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru.
😂😂😂 Second selection tena,Ahsante sana kwa niaba ya wanaume wote wa JF kasoro wale wa second selection
Wapo wachache wanaojua kwamba hata ule ukorofi na mikiki-mikiki ya baba katika familia inasaidia sana kuifanya Familia iwe active (Ichangamke), iwe macho(awake) na muda wote familia hiyo ikae mkao wa tahadhari na kujihami kwani endapo mmoja wapo katika familia atajisahau na kuwa duwanzi au mzembe, atapambana na mkono wa baba.Inawezekana dear ndio maana nikasema nlpamoja na madhaifu Yao lakini Bado wanamchango katika ustaw wa familia
😂😂😂😂😂😂 Second selection tena,
Ana psychological problems kubwa sana hata uandishi wake tu utaona hiloHuyo kichaa sijui ametoka huko kigoma
Mungu akutie nguvu. Katika kila gumu Mungu akakupe kulishinda. Pamoja na yote..tunawaombea. Mkafanikiwe
AmeenInshallah Mungu atanifanyia wepesi
Ni Bonge la inshaMaisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.
Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yankuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafnya hayo.[emoji1545][emoji818][emoji817][emoji2827]
Tutafika tu braza. Kikubwa uhai afu kaza tu..we mwanaume..hutakufa. Machalii watakuja ona juhudi zako one day mshua masta. Big up✌️Amina, unanitoa machozi ujue? I needed to hear this.