Utakuwa Mama mzuri sama, nimeamka kwa shida sana leo kwenda kazini, ni kama umeniongelea, isingekuwa mke na watoto ningeacha kazi week iliyopita.
Mungu akutie nguvu. Katika kila gumu Mungu akakupe kulishinda. Pamoja na yote..tunawaombea. Mkafanikiwe
 
Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru.
Kwa mara ya kwanza nimeona mwanamke ameusema ukweli wa wanawake wote, sio kwamba mmekua wazuri wa kupokea wanawake mmeumbwa kupokea mnapokea mpaka mbegu kutoka kwetu wanaume ili mzae watoto bila mbegu hamuwezi kua wanawake maana ili mwanamke aitwe mwanamke inambidi azae, anazaaje? Anapokea mbegu kutoka kwa mwanaume,

Barikiwa kwa kujitambua na kulielewa hilo
 
Inawezekana dear ndio maana nikasema nlpamoja na madhaifu Yao lakini Bado wanamchango katika ustaw wa familia
Wapo wachache wanaojua kwamba hata ule ukorofi na mikiki-mikiki ya baba katika familia inasaidia sana kuifanya Familia iwe active (Ichangamke), iwe macho(awake) na muda wote familia hiyo ikae mkao wa tahadhari na kujihami kwani endapo mmoja wapo katika familia atajisahau na kuwa duwanzi au mzembe, atapambana na mkono wa baba.

Baba asipokuwepo Familia inakuwa ya baridi, imepoa, wanafamilia kuwa wanyonge n.k. na maadui wa familia (kutoka nje au ndani ) huibuka na kuanza kuinyanyapaa familia, kuwaonea na hata kuwadhulumu baadhi ya mali na haki zao. Lakini akiwepo Baba hawatothubutu kufanya ushenzi kama huo kwani wanajua ni nini kitatokea.
 
Ni Bonge la insha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…