Nilichojifunza kuhusu wanaume
Huwa namuangalia Mume wangu jinsi ambavyo anahakikisha tupo comfortable kila siku, hawazi another pair of shoe au cloth for himself before taking care of us...ni Mume na Baba bora sana kwetu. Sijui hata maisha yangekuwaje bila yeye. Najua najitahidi sana kuwa mke bora na labda sifanyi kilakitu sawa ila hata kwa kidogo naamini anajua nathamini sana kila anachofanya na ni maombi yangu Mungu azidi kumtunza na kumbariki.


Asante sana kwa kutukumbusha kuwashukuru na kuthamini juhudi zao za kutunza familia ni rahisi sana kuchukulia poa kwasababu ya kuwa ni jukumu lao.
 
Huwa namuangalia Mume wangu jinsi ambavyo anahakikisha tupo comfortable kila siku, hawazi another pair of shoe au cloth for himself before taking care of us...ni Mume na Baba bora sana kwetu. Sijui hata maisha yangekuwaje bila yeye. Najua najitahidi sana kuwa mke bora na labda sifanyi kilakitu sawa ila hata kwa kidogo naamini anajua nathamini sana kila anachofanya na ni maombi yangu Mungu azidi kumtunza na kumbariki.


Asante sana kwa kutukumbusha kuwashukuru na kuthamini juhudi zao za kutunza familia ni rahisi sana kuchukulia poa kwasababu ya kuwa ni jukumu lao.
Jitahidi angalau umtamkie haya kuwa...wewe ni mume na baba bora.
Hii itazidi kumpa nguvu ya kuwapambania
 
Mateso ndio uanaume wenyewe huo.
Ukakamavu, subira, maamuzi, mapambano, na hekima.

Mke akizingua hatuna muda wa kumpondea Kwa Watoto au ndani ya jamii.

Wanaume ni ngumu kumpondea MKE au Mama zetu hata kama tunajua amekosea.
Mara nyingi tunatumia neno jumuishi Wanawake kuwaponda wote.

Ila ni ngumu kuwa specific kuwa MKE au Mama yangu ni mshenzi.
Ila Wanawake wanatumia maneno jumuishi na Mahususi kutuponda Wanaume na waume au Baba zao.
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yankuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafnya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna waksti hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahid kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivo unavoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya[emoji3] pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Untold truth
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yankuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafnya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna waksti hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahid kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivo unavoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya😀 pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Kama mwanaume nimefarijika sana kuona hii appreciation.

MUNGU AKUBARIKI.
 
Hakika hii ni siku njema sana kuwahi kutokea ndani ya january 2023, ujumbe mzuri uliosheheni upendo ambao ni wanawake wachache hutambua na kuyaishi hayo. Kuielewa hali ya mumeo ni jambo la muhimu lakini kuishi nae kuvumilia na kumuombea kwa hali hiyo ni Upendo wa kweli. Barikiwa sana sophy27 😘, nipo natafuta location nzuri ya kujenga sanamu yako. Upewe ulinzi tafadhali
 
Back
Top Bottom