Nilichojifunza kuhusu wanaume
Sio wote wanaotunza familia zao wengi wao wanatunza Malaya .

Hata wasifiweje watu mia mie najua sio waaminifu tunaishi nao Kwa imani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] be careful, kuna mama wa mtu unamuita malaya. Wanawake bana, mpo tayari kujibagua wenyewe kwa wenyewe na kudharauliana hata panapoitajika umoja. Nimeshaona hadi post za wanawake kwenye kubaguana juu ya upendo kwamba upendo wa mke ndio halisi maana alikupenda kama ulivyo ila mama amekupenda kwasababu wewe ni mwanae. Yaani mnamindset za ubinafsi na uchoyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mungu awasaidie tu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] be careful, kuna mama wa mtu unamuita malaya. Wanawake bana, mpo tayari kujibagua wenyewe kwa wenyewe na kudharauliana hata panapoitajika umoja. Nimeshaona hadi post za wanawake kwenye kubaguana juu ya upendo kwamba upendo wa mke ndio halisi maana alikupenda kama ulivyo ila mama amekupenda kwasababu wewe ni mwanae. Yaani mnamindset za ubinafsi na uchoyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mungu awasaidie tu!
Malaya nlmalaya Malaya acha ndoa za wenzako
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivyo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yanakuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafanya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna wakati hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahidi kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivyo unavyoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya😀 pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Safiiii sana
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivyo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yanakuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafanya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna wakati hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahidi kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivyo unavyoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya😀 pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Ningeshauri ule wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki wakutaje mule, Tuliimbe jina lako kila tukiimba nyimbo hizo
 
sophy27 siku ya Wanaume duniani uli repost hii thread. Kweli kabisa Wanaume wanapitia magumu sana kuna mshikaji wangu ana mke wa huko Singida yaani Mwanamke hana shukurani na jamaa anapambana sana kumhudumia pamoja na watoto wake wawili lakini wiki iliyopita Mwanamke kasafisha kila kitu ndani na sasa hivi yupo South Africa.
Sawa 🙏
Kunawanawake wanaroho ngumu sana
 
Sometimes tunaishi nao kwa sababu ya future ya watoto angalau wabalance. Malezi ukamilika panapo baba na mama.
Unakuta mwanaume kahangaika kutwa nzima kashinda njaa anatembea kwa miguu kurudi home njaa siri yake, kampiga mzima rafiki yake kampa elf 2.
Anaona ni bora akanyage mguu angalau wanunue Mihogo au wali Kavu na mchuzi wa nyanya Ili familia isipite kapa usiku sababu imeshinda njaa. Akifika home anaambulia matusi kwa mke asiye na busara. Pesa haijifichi ukiwa nayo. Ukiwa na busara huwezi kwenda jela kisa mapenzi.

Dah umenikumbusha miaka kadhaa iliyopita
 
We
Sometimes tunaishi nao kwa sababu ya future ya watoto angalau wabalance. Malezi ukamilika panapo baba na mama.
Unakuta mwanaume kahangaika kutwa nzima kashinda njaa anatembea kwa miguu kurudi home njaa siri yake, kampiga mzima rafiki yake kampa elf 2.
Anaona ni bora akanyage mguu angalau wanunue Mihogo au wali Kavu na mchuzi wa nyanya Ili familia isipite kapa usiku sababu imeshinda njaa. Akifika home anaambulia matusi kwa mke asiye na busara. Pesa haijifichi ukiwa nayo. Ukiwa na busara huwezi kwenda jela kisa mapenzi
We ni ke kumbe sikujuaga
 
Mwanamke mwenye moyo huu na mtazamo huu ndiyo anastahili hasa Ndoa na kupewa heshima.

Kama unaweza mkumbuka baba yako kwa mema aliyokutendea kwa huo muda mfupi basi utamkumbuka Mwanaume atakaye ambatana nawe katika maisha haya.

Hongera sana
 
Natumaini mko poa,

Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivyo awali.

Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.

Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yanakuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafanya hayo.

Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna wakati hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.

Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.

Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahidi kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivyo unavyoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.

Na sisi wa jumuiya😀 pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.

Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.
Mbinguni utakaa pembeni ya Mungu.
 
Back
Top Bottom