Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Hahaaaa, umenipata? Mi mtu mzima kule sikuwa serious kihivyooo mkuu.
 
Hivi mkurugenzi akiwakopa si mkatae kwenda safari mseme kuwa hamna hata nauli za kwenda? Shida nini si ni haki yako?
 
Dah hao ndio wasomi wetu wanawaza ubinafsi hawawaz jinsi gani kupambana kubadili uchumi wa nch
Hiyo ni kazi ya waziri wa fedha na uchumi, pamoja na walio juu yake, sisi wacha tuwaze matumbo yetu kwanza, tukishiba ndo tutawaza mengine.
 
Bwaaanaaa wewe
Call allowance za tamisemi mpaka miezi mitatu kama mnavunja kikoba
Nasikia Tamisemi idara ya afya hakunaga call, au ni level gani hiyo yenye call ni health center?
 
Sihitaji kuoa kwasababu SITAKI KUOA.
Hayo mengine wewe wasema.

#YNWA
Mtoa mada hukutakiwa kumwambia mkurugenzi kuwa 2025 utaondoka, coz kuna watu wana roho mbaya, wataweza kukuwekea kauzibe.

Pia huko porini mbona gharama za maisha ni ndogo, mshahara unauona kabisa. Au wekeza kwenye kilimo, ufugaji au biashara, utapata pesa kuliko walio ktk taasisi.
 
Pole sana mzee wa Tanganyika DC [emoji28][emoji28]. Fanya kazi uwasaidie wananchi na serikali kuwapatia huduma wananchi.
 
HR wa wizara fulani analipwa bei gani?
 
Yaani hata wakuu wa idara, mwenyekiti wa halmashauri (diwani), mkurugenzi, afisa utumishi, nao hawana hela ya supu mpaka mwisho wa mwezi?
 
Sasa local government wana waajiriwa wengi mno kuliko hizo taasisi, kwahiyo wakiwalipa mishahara mikubwa watafilisika.
 
Mshahara wa madaktari Tamisemi na wizara ya afya ni ule ule.
 
Nasikia Tamisemi idara ya afya hakunaga call, au ni level gani hiyo yenye call ni health center?
Health centre
District Hospital
Zahanati huko ndio Hakuna call allowance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…