jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Bora ujiajiri kuliko kufanya kazi halmashauri,huko wanastahili kufanya kazi wanawake tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una masters ya nini?Hakuna asiyetaka maisha mazuri.
Juzi nimelalia Mbeya pazuri.
Nikiwa Niko full na Castle lite zangu kichwani nikamropokea mkurugenzi wangu ""Uchaguzi wa 2025 hauwezi kunikuta kwenye halmashauri yako" yaani Mimi na li-masters langu nifie kijijini. HAIWEZEKAN...
[emoji16][emoji16][emoji16]Pia nyie wafanya kazi wa halmashauri lazima muwe na kampauko fulani hivi. Iwe kimuonekano, kimitazamo hata muwe na hela vipi, mtu akiwaona tu lazima atawajua kuwa hawa ni wa halmashauri....
Kwanini usijiajiri mkuu? Naamini mishahara kwa watumishi wa umma imepishana kidogo kwa kada husika,labda uwe mwanasiasa ndio utapiga pesa.1. Bachelor of Science in Economics and Finance
2. Masters of Science in Finance and Investment.
#YNWA
nimecheka sana hii commentMsipende kujilingalisha mtakuja mfe na sonona
Hayo maokoto bila kuwa kwenye nafasi kama ya mkurugenzi, Mhasibu au mgavi au kuwa kwenye bodi za SM wadhani ni rahisi kuyapata?!Piga maokoto yako sepa
Mshahara wenyewe TGS A halafu nitafute mtoto wa mtu nileee..!!!Anakataa ndoa sababu yupo SM [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu wangu pole sana. Halmashauri zimejaa ujinga. Ninyi ndiyo mlipaswa mle bata sana. Ila eti unakuta 60% ya mapato sijui 40% yanaenda kwenye miradi ya maendeleo halafu wakurugenzi ni wakuda unakuta hiyo percentage inayobaki anawabania watumishi stahiki zao.INTRODUCTION:-
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini...
Ukiwa kwenye halmashauri soma ramani ujue nini ni dili hapo. Kuna watu wameajiriwa halmashauri wakatoboa mpaka wakashangaza watu.INTRODUCTION:-
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini...
Halmashauri ni majungu na uchawi ndio culture yaoINTRODUCTION:-
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazin...
Hahah😂😂😂😂🙈nimecheka sana hii comment
😂😂😂ee ni pombe kweli! Anajua you are there to stay!! Haya ya 88 🎶🎶yana mwishooo,yatapitaaaa🎵🎵na utasahau And you’ll bethere,deeply grounded😄😄Hakuna asiyetaka maisha mazuri.
Juzi nimelalia Mbeya pazuri.
Nikiwa Niko full na Castle lite zangu kichwani nikamropokea mkurugenzi wangu ""Uchaguzi wa 2025 hauwezi kunikuta kwenye halmashauri yako" yaani Mimi na li-masters langu nifie kijijini. HAIWEZEKANIII
Aliniangaliaaa akanijibu "Pombe hizo" 🤭🤭🤭🤭
#YNWA
Lazima alipiga diliUkiwa kwenye halmashauri soma ramani ujue nini ni dili hapo. Kuna watu wameajiriwa halmashauri wakatoboa mpaka wakashangaza watu. Nina ndugu yangu aliajiriwa wilayani mkoa wa tabora lakini alifanya makubwa mpaka akanunua V8 na kujenga Ghorofa kijijini kwao kilimanjaro.
Kijana ukimaliza maonesho njoo hapa PSON,ni karibu sana na Mbeya Pazuri! Uje tunywe bia tuyajenge,nikutafutie link kwenye regulatory authority moja ukale bata! Ila sharti uoe😃Mshahara wenyewe TGS A halafu nitafute mtoto wa mtu nileee..!!!
😏😏😏
#YNWA
Miaka 11 uko local government na hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Local government na central government?Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11.