Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Kama unapata posho zako kwa wakati ,safari uhakika basi baki huko... Taasisi nyingi kwa sasa zinaendeshwa kijima watu hawapati posho kwa wakati wala safari mpaka uwe na connection.
 
Kama unapata posho zako kwa wakati ,safari uhakika basi baki huko... Taasisi nyingi kwa sasa zinaendeshwa kijima watu hawapati posho kwa wakati wala safari mpaka uwe na connection.
Hii kauli yako inaeleweka na watu wa Kinondoni MC, Temeke MC, Kigambkni MC, Dodoma Jiji, Ilala Jiji, Mwanza Jiji, Tunduma TC, Mafinga TC, Mufindi DC na sehemu kama hizo

Ila kwa watumishi wa ....
Mpimbwe DC, Momba DC, Tanganyika DC, Ileje DC, Songwe DC, Ukerewe DC, Mafia DC, Rombo DC, Same DC na sehemu kama hizo HAWAWEZI KUKUELEWA.

#YNWA
 
Ni halmashauri Gani hiyo upo?

Sema labda uniambie Kilimanjaro hakuna ardhi (imejaa) na wachaga kuuza ardhi hawataki.

#YNWA
Halmashauri zote.

Ardhi ni kiduchu sana, mashamba ni kama hakuna.

Ufugaji ni mgumu, unless kama unanunua majani kila siku, maana huku hakuna malisho, na huwezi kukata majani kwenye eneo la mtu.
 
Halmashauri zote.

Ardhi ni kiduchu sana, mashamba ni kama hakuna.

Ufugaji ni mgumu, unless kama unanunua majani kila siku, maana huku hakuna malisho, na huwezi kukata majani kwenye eneo la mtu.
Kwa ufugaji wa "Zero grazing" Moshi ni kipengele.
Na majani sijui utanunulia wapi Kwa mtu asiyefuga..!!!

#YNWA
 
Ukiwa kwenye halmashauri soma ramani ujue nini ni dili hapo. Kuna watu wameajiriwa halmashauri wakatoboa mpaka wakashangaza watu.

Nina ndugu yangu aliajiriwa wilayani mkoa wa tabora lakini alifanya makubwa mpaka akanunua V8 na kujenga Ghorofa kijijini kwao kilimanjaro.
Mwizi huyo
 
Liverpool VPN we bora ubaki huko huko DC, ....ukija mjini utajikuta unaoa.

Baki huko muasisi wa chama cha wasio oa,,, uendelee kukijenga chama
1. Nimezaliwa Mwananyamala
2. Nikasomea Mwananyamala na kinondoni (msingi)
3. Nikasomea Posta (O-level)
3. Nikasomea uhuru (Benjamini - Advance)
4. Nikasomea Dar - Chuo - UDSM
5. Nikafanya Kazi dar - Posta

6. Mitaa yangu ya kujidai ilikuwa ni Mwananyamala yoteee kuanzia A, ujiji, Kwa kopa, Bwawani, Peace n.k, bila kusahau Makumbusho, Mwenge, Magomeni na Kinondoni.

7. Ajira ya serikali ikanileta mkoani.

Unadhani naweza kudata na Jiji?

#YNWA
 
1. Nimezaliwa Mwananyamala
2. Nikasomea Mwananyamala na kinondoni (msingi)
3. Nikasomea Posta (O-level)
3. Nikasomea uhuru (Benjamini - Advance)
4. Nikasomea Dar - Chuo - UDSM
5. Nikafanya Kazi dar - Posta

6. Mitaa yangu ya kujidai ilikuwa ni Mwananyamala yoteee kuanzia A, ujiji, Kwa kopa, Bwawani, Peace n.k, bila kusahau Makumbusho, Mwenge, Magomeni na Kinondoni.

7. Ajira ya serikali ikanileta mkoani.

Unadhani naweza kudata na Jiji?

#YNWA
Sasa si ungebaki na kazi yako uliyokuwa unaifanya Dar? Kwanini uliomba ajira serikalini?
 
Kwanini huwezi kufanya biashara, kujenga etc?
Kilimanjaro ni mkoa wenye eneo dogo sana, kiasi kwamba wao tu haliwatoshi.

- Hivyo, hakuna mashamba, Kuna vieneo vichache halafu kilimo ni kigumu bila mbegu za kisasa na kupiga dawa hupati kitu.

- Kujenga ni ngumu maana hwauzi eneo na Kama wakiuza ni kieneo kidogo bei mlima.
 
Kilimanjaro ni mkoa wenye eneo dogo sana, kiasi kwamba wao tu haliwatoshi.

- Hivyo, hakuna mashamba, Kuna vieneo vichache halafu kilimo ni kigumu bila mbegu za kisasa na kupiga dawa hupati kitu.

- Kujenga ni ngumu maana hwauzi eneo na Kama wakiuza ni kieneo kidogo bei mlima.
Vipi upande wa biashara, wachaga si wafanyabiashara? Unasemaje hakuna biashara
 
Back
Top Bottom