Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Hayo maokoto hata hotel iliyopo Ilomba kwa price ya 50k per night IMENISHINDA..!!!

#YNWA
Basi ni wewe tu na hiyo Halmashauri yako unayotoka ndio mma njaa. Mbona wengine wamelala sehemu nzuri tu ma tumekuwa rate ya 220,000. Mbona rate za sasa zinafanana kwenye taasisi zote zinaanzia 100,000- 250,000 per day. Muonekano wa Mabanda unategemea na maandalizi ya Halmashauri ila usi generalize.
Kwa mwaka wangu wa 20 kufanya kazi Halmashauri, Halmashauri sio kubaya ila inategemea na wewe unajishughulishaje baada ya kazi. Kama baada ya kazi unapiga masanga huku kuitegemea Posho na mshahara au mipigo utaendelea kuwa maskini na mlalamikaji ila ukijishughulisha nje ya kazi, mambo bum bum.
 
Huko Serikali Perdiem zinatofautiana kwani?.
Inawezekana hajui asemacho huyu jamaa na wala sio mtumishi wa serikali. Mbona posho ni kuanzia 100,000 hadi 220,000 na hakuna 88 yenye pesa nyingi kama hii. Binafsi nipo Halmashauri na usiku huu nimefika kwangu toka Mbeya na nimetufi na pesa ya maana pamoja na kukaa siku 10 pale Lubex Hotel Forest Mpya. Jamaa inaonekana bado salary scale yake ni ndogo.
 
Ndiyo maana hutaki kuoa usije mkondesha binti wa wenyewe!Tunawaambia kila mara..."local government is always local and cold"...!Huko kuna vijimungu watu,wezi,dhulmati,wanyanyasaji na wadumavu wa akili.Hawapendi hata kuwalipa maslahi stahiki watumishi wao.Ukifika kwa ma HROs wengi ni hamnazo na roho mbaya.Waweka hazina ndiyo balaa.Vijimungu mtu! Anyways,unapokuwa mtumishi wa Local government ni vema akili yako ikawa two steps ahead.Tumia akili mtu wa Mungu!🙏😂
 

Shida hata hiyo posho wanakopwa[emoji28][emoji28]
 
Pole sana mwanangu uko wapi leo tukajifariji kidogo kuna chimbo ni expensive ila pombe za pale ni kali na za kwenda bado sijagusia watoto wazuri .

Niko Esso hapa fanya kunifuata PM tukaishi wakuchoka mwenzangu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app

Nipo na zee moja listaafu linadai linamjua mdada mmoja mzuri wa kuitwa To yeye
 
Hakika sisi watumishi wa halmashauri hasa DC na miji miidogo tunatia huruma na tuna nyuso za huzuni zilizogubikwa na umaskini na kukatata pamoja na nyuso zilizokoswa nuru pia tunaishi kwa kudra za mungu tu.
 
NDUGU UMEOONA TAASISI TU!
WHAT ABOUT SEKTA BINAFSI, KWA NINI HIKUWAZA KUCHUNGUZA SEKTA BINABAFSI.
HAO WA PERDM WANAWEZA NUNUA ILE FORD TRACTOR NA KUWEKEZA MAMILIONI.

NG'OMBE MMOJA WA ASAS SH 4000000.
HUKUTAMANI KUWA NA MRADI MKUBWA KAMA ULE?
 
NDUGU UMEOONA TAASISI TU!
WHAT ABOUT SEKTA BINAFSI, KWA NINI HIKUWAZA KUCHUNGUZA SEKTA BINABAFSI.
HAO WA PERDM WANAWEZA NUNUA ILE FORD TRACTOR NA KUWEKEZA MAMILIONI.

NG'OMBE MMOJA WA ASAS SH 400000.
HUKUTAMANI KUWA NA MRADI MKUBWA KAMA ULE?

Mkuu hiyo laki 400,000 kwa ng’ombe mmoja wa ASAS ni typing error au?? Nilivyoongea nao Mimi wanauza ng’ombe mwenye mimba Kama sijakosea ni Holstein Frisian kuanzia Tsh. 4,500,000/-
 
Hivi Castle Lite zinalewesha???!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…