Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Hapo umezungumzia mfanyakazi wa halmashauri yaani ofisi ya wilaya husika na sio mfanyakazi chini ya halmashauri hiyo! Chukulia mfano mwalimu toka wilaya ya mbarali kijiji cha Mwanavala au muungano au labda wilaya ya Mufundi huko mapanda!
Hao ndio kabisaa Mungu saidia.

#YNWA
 
Yaani dili (side hustle) nipige au nisipige hiyo HAIKUHUSU.

Mada imejikita kwenye "Maokoto ya kazini" kwamba Taasisi wanalipwa sa kuliko TAMISEMI.

Hayo sijui Kuna hela za urithi, namiliki mashamba, sijui nini kila mtu ana mambo yako na Tuachane nayo.

Fact is "Money generated at work"

Hela za CCM nazitaka Tena nyingi na hela za mtaani nazitaka Tena nyingi.

#YNWA
 
Yaani dili (side hustle) nipige au nisipige hiyo HAIKUHUSU.

Mada imejikita kwenye "Maokoto ya kazini" kwamba Taasisi wanalipwa sa kuliko TAMISEMI.

Hayo sijui Kuna hela za urithi, namiliki mashamba, sijui nini kila mtu ana mambo yako na Tuachane nayo.

Fact is "Money generated at work"

Hela za CCM nazitaka Tena nyingi na hela za mtaani nazitaka Tena nyingi.

#YNWA
 
Utakuwa umesoma MUM wewe maana sio bure kwa jinsi unavyolia lia.
Unapo jibu hoja punguza "Pesmism" and "negativity"
Nenda direct kwenye hoja ila usim-attack mtoa hoja personally.

Na hili nenda nalo kokote uendako.

#YNWA
 
Halmashauri= TAMISEMI
TAMISEMI= Local black
Local government= Local.
Hata kama ajira ngumu ndo ufanye kazi local government
 
Hakika sisi watumishi wa halmashauri hasa DC na miji miidogo tunatia huruma na tuna nyuso za huzuni zilizogubikwa na umaskini na kukatata pamoja na nyuso zilizokoswa nuru pia tunaishi kwa kudra za mungu tu.
Mungu tusaidie.

#YNWA
 
Walimu wakilalamika mnasema uongo watumishi wote ni sawa tu....

Hakuna kitu kinaitwa HAKI sawa Kwa wote.

Halmashaur Kuna njaa balaa watu wamepauka hatarii.
Asante Mama ake Nancy.

#YNWA
 
Nilikwambia tuonane hapo 8 8 ukapuuza hivi wana jf kufahamiana ni dhambi et mr Liverpool VPN

Wanaogopa wasio julikana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jana nilikuwa hapo nane nane bado nakula libaridi la Mbeya

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app

Kuonana na mtu yoyote wa JF kwa kweli hili swali LIMENISHINDA.

Kuna siku nilipost kuhusu biashara ya vinywaji "Nina miaka 7 Niko kwenye biashara ya vinywaji"
Watu wengi tu walinifata PM kuomba namba ya simu ili wajifunze hii biashara, ila SIWEZI KWA KWELI.

Cha MUHIMU ni tuchat tu na tumalizane hukohuko PM.

#YNWA
 
Hapa umekurupuka dogo. Nani kaandika kuhusu pesa za urithi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…