Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #161
Hao ndio kabisaa Mungu saidia.Hapo umezungumzia mfanyakazi wa halmashauri yaani ofisi ya wilaya husika na sio mfanyakazi chini ya halmashauri hiyo! Chukulia mfano mwalimu toka wilaya ya mbarali kijiji cha Mwanavala au muungano au labda wilaya ya Mufundi huko mapanda!
#YNWA