Kwamba watengeneza Simu wanawatengenezea Programmers na sio end Users ?Kama ku operate tu ni shida,ungeambiwa ukae na kuanze ku program features za simu ingekuwaje?
Lini uliona napost mirror selfie status? Ms eyes 🤣🤣najua hudhani kwa maandishi lakini nafsi inajua kuwa nimeandika ukweli😀😀
halafu nahisi wewe ni muhanga wa mirror selfie kwa kutumia iphone. Ni ka uraibu kanakokuja na umiliki wa iphone.
Unanibishia mimi? unajua mimi ni nani?Last time statistics za brand ipi ya simu imenunuliwa zaidi na nchi kusini mwa jangwa la sahara, samsung inaongoza.
Isipokuwa nigeria tu ambayo iphones ndio nyingi zaidi
So number zako haziendani na uhalisia
BATTERY LIFE Kweli kipengele, sasa wengine unawakuta wanatembea na powerbank au chaja kabisa kifika sehemu yenye umeme a-boostmimi mchaga pure ubahili lazima😂
afu iphone battery life naskia ni kamzozo
shhhhh watakupopoa hapaBATTERY LIFE Kweli kipengele, sasa wengine unawakuta wanatembea na powerbank au chaja kabisa kifika sehemu yenye umeme a-boost
Last nimechaji huo muda nikaitoa chaji ikiwa na 94…shhhhh watakupopoa hapa
Sio hizi latest.mimi mchaga pure ubahili lazima😂
afu iphone battery life naskia ni kamzozo
Anatumia aifon 6 afu anataka ikae na chaji siku nzima 😂😂😂Sio hizi latest.
sisemi tena😂Last nimechaji huo muda nikaitoa chaji ikiwa na 94…
Sizimi data.. na bado nina chaji ya kufika mpaka usiku.View attachment 2799058
🐕 lioneeee 🤣🤣🤣sisemi tena😂
mmh iphone kuanzia 12 wanazo wachache sana😂Sio hizi latest.
X ni maumivu☹️🤣mmh iphone kuanzia 12 wanazo wachache sana😂
hizi X kushuka kama hukuchukua mpya utajuta
We kwendraaa 😂😂 labda wewe🤣🤣🤣 Kama amepatia hivi
si ulisema unataka S24 wewe? chukua hata S23 FE 1.5 M nzuri sana🐕 lioneeee 🤣🤣🤣
uza chukua tecno mkombozi kabla haijakufia🤣X ni maumivu☹️🤣
🤣🤣🤣 mimi niliwahi Mara moja Ila nikaona sielewi kabisa😂We kwendraaa 😂😂 labda wewe
Kwanza hata sijawahi kukuona
🤣🤣🤣. Kwendauza chukua tecno mkombozi kabla haijakufia🤣
tatizo mnapenda madesa sana