mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
. Kabisa kabisa kabisa miaka mitano tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Kabisa kabisa kabisa miaka mitano tena
Unategemea Nini unapoambiwa watoto wasiende shule,walimu lazima waende kwenye kampeni ya POMBE...,KILA KATA ILETE WATU SI CHINI YA 200...(MALORI YAPO YA KUTOSHA) WATU HAWAJAMUONA MAKABILA DULLA LIVE ...ILA MWSHO WA SIKU KURA NI SIRI YA MTU.....Hata hivyo wapare hamna kitu ubongoni.
Kwahiyo baba na mama yako wamedumaa akili zao? Mbona bado unawategemea kula na kulala kwao?Ndiyo, maana akili za wazee wengi zimedumaa na wengi wana dementia na Parkinson wana buruzwa tu.
Kijana una nguvu na ubongo unafanya kazi kwanani usione ujinga wa ccm wazi wazi .
Mfano, Katibu mkuu wizara ya maji Kitila Mkumbo hakuleta maji ubungo na aliambiwa ahakikishe anasambaza maji Dar es salaam nzima, kagundua ulikuwa uongo na hakuna faida yake, na haiwezekani akaacha ukatibu mkuu wa wizara ya maji akaenda kugombea ubunge.
Sasa naye anatuahidi kutuletea maji akiwa mbunge ubungo, hilo linakuingia akilini kijana?!
Alikuwa na mamlaka ya kuleta maji hakuleta, sasa atayatoa wapi akiwa mbunge?!
Huoni ujinga wa ccm huo?! Na hilo moja tu.
Mtu anashinda kura za maoni za kugombea ubunge, anakatwa halafu anaambiwa atateuliwa, sasa huyo aliyepewa nafasi yako si ndiye anapendwa na huyo mteuzi kuliko wewe, sasa kwanini asikuache ugombee na yule ateuliwe?!
Vijana wa ccm wana mtindio kama sio kurogwa.
Hahaha ukiwa na akili za kiccm unaweza sahau hata jina lako.Kwahiyo baba na mama yako wamedumaa akili zao? Mbona bado unawategemea kula na kulala kwao?
Yaan utaacha kupiga kistaarab utaanza kutoboa macho wagombea wengine maana sio kwa chuki hizo. Ila tambua tu #RAIS NI MAGUFULI# Cheza regae ruka ruka weeee baada ya october utaongozwa na huyo unayemchukia kqa miaka mingine MITANO.Jazba yangu ndio inifanye nisilione jina la Lissu? Au wabunge na madiwani wa CHADEMA? Aisee umepotoka...Tena umepotoka Sana...
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Unajifanya kuukataa ukweli?Anapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Hayo wewe wasema,ukweli mwingine mnapotosha vingine. Hakuna uongozi unaoweka watu wake pesa mfukoni labda serikali ambayo ni corrupt.Kwahiyo itifaki NI kuwafanya watoto wetu wasisome?hii siku waliopoteza mtairudisha lini?nyinyi ndio mnaompumbaza na kumwaminisha anapendwa....KUMBE MNALAZIMISHA....
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Nikweli lakini ni mazoea ndo yalileta shida. Mtu akishazoea kwa miaka 10, 15 kuweka bajeti ya safari za nje, au akawatafutia watoto wake watatu vyeti vya elimu bandia na kuajiliwa baadaye ukisema stop, yeye anaona anaonewa. Hata changudoa leo hii ukianza kupambana nao utapata upinzani usiotegemea. Haya hayawezi kuwa ni sababu ya serikali kupiga magoti. Lazima nchi iwe na mpangilio na adabu.Hali ni ngumu miaka mitano, wananchi wanataka liwalo na liwe
Jibu hoja acha utopolo kijana!Hahaha ukiwa na akili za kiccm unaweza sahau hata jina lako.
Sijui hata kama umeelewa?!
Hahaha tatizo nini, hoja gani unayo?!Jibu hoja acha utopolo kijana!
Binadamu tunatofautiana uwezo. Kila mtu kuna mwingine anamzidi huyu au yule. Naaamini Magufuli anazidiwa na wengine kwa mambo mengi lakini siwezi kuamini kwamba Lissu anamzidi Magufuli ktk kuiongoza nchi hii. Huyo Lissu amekaa bungeni miaka mingapi? Alifanya nini unachoweza kusema alijitahidi lakini, labda, alizidiwa? Wenzake waliwahi kupeleka miswada binafsi ikakataliwa, yeye aliwahi kupeleka nini Bungeni? Kila siku yeye huwa ni kulilia haki, haki, haki hadi USA ni zipi hizo? Ni pamoja na za mashoga, eti hiyo ndo kujua sheria!Inasikitisha sana baadhi ya mijitu! Haitambui kuwa kuna sheria zinakanyagwa lakini inakataa inayemsema ni mtunga sheria. Unathibitisha kuwa sheria za sasa hazifai!
Mimi ninapenda Magufuli ashinde hii miaka mitano ili mijitu kama wewe ipate kuona rangi zote. Halafu urejee hapa 2025 useme CCM iendelee kushinda! Ubaki ulivokuwa 2015 ifikapo 2025. Ila umri na uzee tu viongezeke!!
Je, wewe unaweza kukusanywa?Nimeingia Moshi jioni hii pale same wamekusanya watu milimani kujaza mkutano kesho .
Ndugu agiza ugali na nyama choma pamoja na kachumbari nyingi halafu agiza na maji kubwa. Bill hiyo imeshalipiwa bila shakaBinadamu tunatofautiana uwezo. Kila mtu kuna mwingine anamzidi huyu au yule. Naaamini Magufuli anazidiwa na wengine kwa mambo mengi lakini siwezi kuamini kwamba Lissu anamzidi Magufuli ktk kuiongoza nchi hii. Huyo Lissu amekaa bungeni miaka mingapi? Alifanya nini unachoweza kusema alijitahidi lakini, labda, alizidiwa? Wenzake waliwahi kupeleka miswada binafsi ikakataliwa, yeye aliwahi kupeleka nini Bungeni? Kila siku yeye huwa ni kulilia haki, haki, haki hadi USA ni zipi hizo? Ni pamoja na za mashoga, eti hiyo ndo kujua sheria!
Kwa tuliojaliwa saikolojia ya mawasiliano ya viumbe, ukimuangalia usoni tu, unaona dalili zote za matatizo ya kufikiri. Sioni kama ni mtu anayeweza kushauliwa kwa lolote. Je, tumjaribu kushika utawala? Utawala haujalibiwi.
Swali fikirishiJe, wewe unaweza kukusanywa?
Waibe nini wakati wanawapiga kura kibindoni 17,000 000 kati ya 29,000,000 waliojiandikisha?Mwaka huu CCM labda waendelee na tabia ya uwizi mambo magumu.
Lawama hapewi mbuziBila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi asingefika Belgium lawama zote ni kwako wewe
WaambieWaibe nini wakati wanawapiga kura kibindoni 17,000 000 kati ya 29,000,000 waliojiandikisha?
Mungu yupo na hata sasa yu kaziniKila nikimuona Magufuli huwa nasema Mungu yupo nimetoka Kijiji ambacho kilitawaliwa na Chadema miaka 25 Huwezi amini umeme hatuujui ila 2015 Tulipokubali kumweka mwenyekiti wa wakijiji wa CCM umeme umetapakaa ajira imezagaa. 2013 Nlienda Sweden nilipata tabu kupata Visa card Ila 2016 nilienda Germany mambo ni murua kabisa unapokelewa ubalozini Kama mfalme Corona baba wa watu akaamua kufunga Ili watu wake wapone huyo Lisu alikuwa wap? Anafanya Nini? Umaskini wa wakijana wakitanzania unaletwa na kutokujitambua kwake HAKUNA SERIKALIII INAYO WAWEKEA VIJANA HELA MFUKONI