Tuspka kadogo tu cha ndani ya Tv (Pair).πππ
Noma sana, spika zilikuwa ngapi?
Dar mkoa wa matajiri, kwahiyo makato lazima yakae kitajiri tajiri.Tuspka kadogo tu cha ndani ya Tv (Pair).
Na mzigo wako ulifanya kazi vizuri mpaka leo? Mana mm niliwahi kuagiza SSD kupitia kikuu ila haikufanya kazi.Tumia ebay pia Kuna Alibaba pia
Cha kwanza Kabisa wawe na account huko ebay na muhimu wewe na PayPal ndio tamu maana hizi kadi za tigo na voda mda mwingine zinaleta usumbufu sanaKuna watu wengi saana wanatamani kuagiza vitu ebay lakini wanakosa muongozo namna ya kuagiza mnaonaje wazoefu nkatoa muongozo japo kidgo tu.
Japo miongozo iliopo jf kama ni ya zamani kidgo na ukipitia pia kama ziko complicated saana
Duh Bora uagize za AliExpress au ebay mkuuNa mzigo wako ulifanya kazi vizuri mpaka leo? Mana mm niliwahi kuagiza SSD kupitia kikuu ila haikufanya kazi.
Mapato ya nchi wanakula huko juu na makombo wanapewa bongo movie na machawa.Okay....ila kuliko nimpooze bora niipatie nchi mapato
AliExpress inanishinda kabisa, kuna wakati nikisearch bidhaa yanakuja makorokoro ambayo hata siyaelewi. Ila ebay utakachosearch ndio utakacholetewa.Duh Bora uagize za AliExpress au ebay mkuu
Ali express ndio bei rahisi na nyepesi zaidi,fungua accountNilikuwa sijawahi kufanya manunuzi ya kitu mtandaoni, kwa mara ya kwanza tarehe 5/08/2024 nilifanya manunuzi ya miwani ya macho katika mtandao wa eBay, hii ni baada ya miwani yangu kupasuka.
Niliingia katika mtandao wa eBay, nikasearch aina ya miwani ninayoitaka, nilishangaa sana bei nilizoziona, kuna miwani ya macho inauzwa mpaka dollar 3 πππ.
Nilichagua aina ya miwani inayonifaa, bei yake ilikuwa ni dollar 5, free international shipping.
Tarehe 18/09/2024 nilitumiwa sms kuwa mzigo wangu umefika posta ya wilaya niliyopo, hivyo natakiwa niende kuuchukua, jana tarehe 19/09/2024 nimeenda Posta kuchukua mzigo wangu, miwani nimeikuta iko vizuri, na prescription zangu zimefuatwa vyema kabisa.
Sasa kuna mama nilimkuta pale ofisini posta, ni mtoa huduma wa pale. Nilimuuliza maswali kadhaa kuhusu kuagiza vitu nje na gharama ambazo ninatakiwa kulipia pale Posta. Yule mama alinielekeza kuwa hii mizigo tunayoagiza nje huwa tunapewa tracking number, kama tracking number yako inaanza na herufi R, ina maana mzigo wako umetumwa kwa kutumia Registered tracking code, inamaana mzigo wako ukifika Posta utapigiwa simu ukauchukue na hautolipia kodi yoyote, utachukua mzigo wako bila malipo yoyote. Lakini akaniambia kuwa kama tracking number yako inaanza na herufi tofauti na R, mzigo wako ukifika Posta utalipia kiasi cha shilingi 3000. Hii 3000 unapewa control number kisha unafanya malipo, baada ya kukamilisha malipo unapewa mzigo wako.
Lakini nilimuuliza swali, vipi kama mzigo wangu ni mkubwa unavuka kilo 5, yule mama aliniambia package za aina hiyo huwa zinakuja na maelekezo kutoka makao makuu, ila kodi yake haizidi shilingi 10000, hivyo aliniambia niache uoga kama kuna kitu nataka kuagiza niagize tu.
Okay, sasa mimi nina swali wataalamu wa hizi mbanga. Ninawezaje kuagiza mzigo kwa dealer ambayo nina uhakika atanimba tracking number ambayo ni registered, yaani tracking number inayooanzia na herufi R?
AliExpress inanishinda kabisa, kuna wakati nikisearch bidhaa yanakuja makorokoro ambayo hata siyaelewi. Ila ebay utakachosearch ndio utakacholetewa.Ali express ndio bei rahisi na nyepesi zaidi,fungua account
Upo sahihi brother sema kwa vifaa vya umeme AliExpress wapo vizuriAliExpress inanishinda kabisa, kuna wakati nikisearch bidhaa yanakuja makorokoro ambayo hata siyaelewi. Ila ebay utakachosearch ndio utakacholetewa.
Au kuna sehemu nakosea mzee wa kazi?
Haina shida mkuu iko sawa tu,halafu huko ebay unauziwa vifaa vingine kutoka hukohuko china kwa bei ya juu wakati aliexpress ungeipata kwa bei ya chini,mfano kaangalie bei ya frem ya miwani pure titunium kwa bei ya ebay na aliexpress with same quality utaona tofauti kubwa sana katika bei, pia shiping cost ebay iko juu compared to aliexp.pia alexp wana agent ambao unachukua mzigo free bila charger walio chini ya speedof wakati ebay lazima upitie posta na lazima posta wakucharge storage achilia mbali ishu ya kodiAliExpress inanishinda kabisa, kuna wakati nikisearch bidhaa yanakuja makorokoro ambayo hata siyaelewi. Ila ebay utakachosearch ndio utakacholetewa.
Au kuna sehemu nakosea?
Duuuh, umesoma nilivyoviandika pamoja na michango mingine ya wadau lakini haujapata kitu kabisa!?Nilikuwa najaribu kupata elimu kwenye huu uzi lakini sipati kitu!
Sawa kiongozi, nisaidie kucheki hii kitu AliExpress halafu unipe link, nitashukuru sana ukinisaidia.Haina shida mkuu iko sawa tu,halafu huko ebay unauziwa vifaa vingine kutoka hukohuko china kwa bei ya juu wakati aliexpress ungeipata kwa bei ya chini
Pia nitashukuru sana kama utanielekeza vizuri kuhusu hii ishu ya kuchukua mizigo kupitia Speedaf, unatumiwa mzigo popote ulipo?pia alexp wana agent ambao unachukua mzigo free bila charger walio chini ya speedof
sijui mengi ila kikuu acha kutumia wameniudhi mara kadhaa kwa bidhaa zao mbovuOkay so ni recommendable? Kuna bidhaa natamani kuagiza, ila sijapata app sahihi ya kutumia, kikuu walinicheleweshea bidhaa zangu nikakata tamaa kabisa ya kuagiza vitu online
Yaani sasa tupe elimu jinsi ya kuagiza bidhaa bila usumbufu. Mkuu sisi wengine bado tupo kwenye mfumo wa 'Pager' yaani kama vile VW Beetle, Ford Cortina, Morris Marina, n.k.Duuuh, umesoma nilivyoviandika pamoja na michango mingine ya wadau lakini haujapata kitu kabisa!?
Elimu gani unahitaji mkongwe!?
Mimi nimewahi kuagiza simu zaidi ya mara nne, saa za mkononi mara tatu saa niliyovaa sasa hivi niliagiza online, niliwahi kuagiza smart watch, earpods nk.Kuna watu wengi saana wanatamani kuagiza vitu ebay lakini wanakosa muongozo namna ya kuagiza mnaonaje wazoefu nkatoa muongozo japo kidgo tu.
Japo miongozo iliopo jf kama ni ya zamani kidgo na ukipitia pia kama ziko complicated saana
Tena hao kikuu wala usirudie kuna jamaa aliagiza tairi za Alteza akaletewa kitu tofauti, wale ubabaishaji mwingi, kwanza hao kikiuu wanachukua bidhaa kwa kina AliExpress, eBay, hata Alibaba. Achana nao agizia AliExpress au hata eBayOkay so ni recommendable? Kuna bidhaa natamani kuagiza, ila sijapata app sahihi ya kutumia, kikuu walinicheleweshea bidhaa zangu nikakata tamaa kabisa ya kuagiza vitu online
Ebay ya wapi, US ama UK...!!Ebay wako vizuri nimewahi agiza PC huko mwaka juzi
siku nyingine ni MARUFUKU kuagiza kwa kutumia soko mjinga la kuitwa Kikuu. we huoni jina lenyewe limekaa kidwanzi.Na mzigo wako ulifanya kazi vizuri mpaka leo? Mana mm niliwahi kuagiza SSD kupitia kikuu ila haikufanya kazi.