Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
My darlin brothers, nawapenda bureee[emoji119] [emoji119]Namba moja hapo, acha upimbi kuwasemea wanaume wote, some men are loyal to their partners. Usipende kujilinganisha na wenzako, kwamba kwa vile unakula tigo...basi wote tunafanya huo ufuska.
Semea nafsi yako kiongozi.
Acha kupotosha bana, kama we ndo uko hivyo usitujumuishe wanaume wote
[emoji182] [emoji182] [emoji182], there is someone for everyone, Inshallah Mungu atanipa kauzu kauzu kidogo. Maana akinipa wa madeko, imetucost wote hakyanani khaaHahaaaa haya bwana, yaani acha kabisa
Ila yote tisa, kumi inategemea na mwanaume mwenyewe, mi siwezi kukubali kufanyiwa makitu kama hayo, so I will definately discourage you hata kama una moyo wa kunifanyia, utaacha tu hakuna namna
My darlin brothers, nawapenda bureee[emoji119] [emoji119]
ni kipindi cha kuonyesha upendo zaidAmani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.
Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.
Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.
Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.
Asante gariba kwa darasa. Tatizo hamjauliza alikuta uchafu gani. Kuna mambo mengi hapo yamefichwa,ingekuwa shahaw sidhani kama angeziona kwani zingepotelea kwenye chupi ama boxer mwezenu kakuta kinyesi ndo sababu anapiga yowe hapa JF.
[emoji182] [emoji182] [emoji182], there is someone for everyone, Inshallah Mungu atanipa kauzu kauzu kidogo. Maana akinipa wa madeko, imetucost wote hakyanani khaa
Wanaume toweni zalau. Moja kwa moja inaonesha jamaa hakwenda hotel maana angeoga kule sasa mambo gani ya kuegeshana nyuma ya gari kama malaya? Afu punguzeni kuchepuka na mabinti wachafu maana mpaka binti anakubali popote ni mchafu by nature. Ishiiiii sio lazima mkichekupa wake zenu wajue
Umenena kweli kwa mtizamo wako, lakini usihusishe wote kwa sababu hujui wapo/hawapo wasioheshimu ndoa zao.Mkuu mimi ni mkristo nilikuwa najaribu kusema ukweli japo kwa leo jpili.
Aisee nimecheka sana ,kumbe watu waliwaza uchafu ni shahawa tu ,sasa kama ni hivyo mbona namwonea huruma huyo mkewe
Amani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.
Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.
Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.
Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.
Sipati picha ntakavyotimua mbio. Ila wanaume mna raha jamani, mnadekezwa tu wenzetu, mtupage basi na Sisi hizo raha siku moja moja mweeHahaaa eti wa madeko
Ila mbona utamjua tu ktk uchumba
Pamoja na kumfanyia yote hayo bado anachepuka, pole asee "ningejimurder"hua nawaambia watu hawa viumbe hata ubebe mgongoni akijisikia kwenda ataenda tu hua hawanielewi..endelea kuogesha mwaya ndo mambo ya ndoa hayo
Hizi ndoa nyingine balaa tupu kwani kuna ulazima,wakutangaza aibu ya mumeo hum huwez kukaa nae mkazungumza au hana ndugu zake kama umeshindwa kuongea nae au una roho mbaya mpka ndugu wa mume huelewani nao shhiit ungekuwa mke wangu nikabaini umetoa thread hii hum jf ningekupa talaka zote on the sport