Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

My own uncle alioa mama wa home
Mwanaume anasomesha watoto
AnAlisha familia
Wanaishi standard nzuri.
Maisha yakawa ya kumfumania mke. Mwisho mke alivyoona kuna Mali zinaonekana akaomba talaka ili wagawane Mali. Walivyofika mahakamani baada ya maswali ya mahakimu akaambiwa mgawo wake ni milioni 2 jumlisha milioni 1, jumlisha milion 2, jumlisha milion 1 , jumlisha laki 4, jumlisha laki 1, jumlisha laki 2, jumlisha laki 2, jumlisha elf 50, na jumlisha tena elf 50.
Sasa mgawo haukumridhisha amekosa pa Kwenda maana alijua atapata kibunda.

Ndoa ni utapeli
 
Inabidi wanasaikolojia wajikite kwenye kuwashauri wanandoa wasiwe na wivu na wasiumizwe pale mmoja wao anapochepuka.Hii kitu imekua kawaida sana,kuoa na kuolewa iwe ni kwa malengo mengine,kuzaa watoto tu.
Tatizo lipo kwenye investments ndugu yangu. Mwanaume anawekeza kikubwa kwenye mahusiano/ndoa kwaiyo asipopata anachokotarajia yaani heshima na uaminifu uyo mwanasaikolojia hawezi kufanya chochote.

Nafikiri suluhisho ni kurekebisha sheria zetu. Tuondoe mzigo anaobebeshwa mwanaume kama kumuhudumia mke na mgawanyo wa mali ndoa ikivunjika ili kinachowakutanisha watu kiwe love adventure tu, penzi likiisha kila mmoja anapita njia yake kwa amani bila kumwacha mwenzake na majeraha ya kiuchumi.

Katika dunia ya 50/50 tunayoishi ambapo mwanamke kapewa uhuru na access zote za kutafuta pesa na mali sioni sababu inayomfanya awe entitled kwenye mali za mwanaume
 
Mahakimu siku hizi wana akiliiiiiiiiiiii
Mke wa anko aliangukia milion chache sana baada ya kugundua mwanaume ndo amebeba mizigo yote had Yule mwanamke hajaamini
 
Bora umesema wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ