Nilichoshuhudia ni aibu, viongozi BAVICHA ni weupe kichwani, CHADEMA mna kazi sana ya kuwafundisha kujenga hoja na kufanya utafiti

Ndio, matusi yapo kwa wote, nami pia huwa nakosoa pande zote, ila nikikosoa CHADEMA ndio matusi yanakuwa mengi...sijataka hapa kuwe kanisani, kwani kanisani ndio sehemu pekee ambayo hutakiwi kutukana?
 
Ndio, matusi yapo kwa wote, nami pia huwa nakosoa pande zote, ila nikikosoa CHADEMA ndio matusi yanakuwa mengi...sijataka hapa kuwe kanisani, kwani kanisani ndio sehemu pekee ambayo hutakiwi kutukana?

Huku ni mitandaoni na hakuna udhibiti mkubwa wa hivyo, kwahiyo tegemea lugha usizozipenda na uishi nazo. Hata hivyo unajuaje mtu ni kijana wa CDM wakati hakuna mwenye kadi humu ndani? Ndio maana nimekuuliza umetukanwa na verified I'd ya CDM?
 
Huku ni mitandaoni na hakuna udhibiti mkubwa wa hivyo, kwahiyo tegemea lugha usizozipenda na uishi nazo. Hata hivyo unajuaje mtu ni kijana wa CDM wakati hakuna mwenye kadi humu ndani? Ndio maana nimekuuliza umetukanwa na verified I'd ya CDM?
Nikikosoa Chadema ndio matusi yanakuwa mengi, kwani wewe ulivyosema hata CCM wanatukana walikuonyesha kadi?
Na kutokutukana kwani ni lazima udhibitiwe? Huwezi kuwa mstaarabu kwa hiyari?
 
Nikikosoa Chadema ndio matusi yanakuwa mengi, kwani wewe ulivyosema hata CCM wanatukana walikuonyesha kadi?
Na kutokutukana kwani ni lazima udhibitiwe? Huwezi kuwa mstaarabu kwa hiyari?

Nimekuambia hata vijana wa CCM wanatukana kwasababu humu ndani hoja ikiwa kinzani matusi, kejeli na dhihaka ni mambo ya kawaida. Na tunaishi nayo kama tunavyoishi, na waongo, washirikina, wazinzi nk huko mitaani. Hicho kipimo chako cha cdm ndio kimenipa shida.
 
Wewe hao vijana unaosema ni wa CCM walokuonyesha kadi?
 
Wewe hao vijana unaosema ni wa CCM walokuonyesha kadi?

Rejea hoja yoyote kinzani ni lazima matusi, hivyo haijalishi ni CCM au CDM. Tatizo ni kipimo ulichotumia kujua kuwa CDM ndio wengi. Mimi sijakuambia wengi ni wa chama gani, bali nimesema hata CCM wanatukana as long as hoja haibebi chama fulani.
 
Rejea hoja yoyote kinzani ni lazima matusi, hivyo haijalishi ni CCM au CDM. Tatizo ni kipimo ulichotumia kujua kuwa CDM ndio wengi. Mimi sijakuambia wengi ni wa chama gani, bali nimesema hata CCM wanatukana as long as hoja haibebi chama fulani.
Sasa ukikosoa Bavicha kisha ukatukanwa, unadhani wanaolutukana watakuwa wa chama gani?

Au ukikosoa UVCCM ukatukanwa, haon wanaokutukana unadhani watakuwa wa chama gani?

Nakosoa vyama vyote, ila nikikosoa Chadema huwa matusi ndio yanakuwa mengi kuliko nikikosoa CCM
 

Vumilia tu maana humu wamejaa vijana,na lugha za shombo ndio kwao. Maana sidhani kama hoja zako zote zimejaa kutukanwa. Ni kama kula wali ukakutana na jiwe hiyo ni kawaida tu boss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…