dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Kwa hiyo ukikimbia bill mpaka ya kwako ndo utasifiwa?Haha yaani badala ya kuwalisha uanze kuwapa semina?
Mbona utasutwa hapo hapo hutaamini....utasikia mwanaume wewe mbahili🤣🤣🤣
Soma hata michango ya mabinti humu ni ya hovyo kupindukia.
Wamezoea maujinga haya
Nafikiri pitia michango yangu hapo juu kwanzaKwa hiyo ukikimbia bill mpaka ya kwako ndo utasifiwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] polee kwa kweli.Unanicheekaa coca!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Poa bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah kamlogee aseeeh.Mdada ana roho ngumu yule!!!Nimemlipia ada miaka mitatu na hela za matumizi na hosteli na bado nikapigwa chini wiki moja kabla amalize chuo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji25][emoji25][emoji25]
Sina haja ya kwenda huko, nnachotaka kusema ni kuwa hao unaowasema wadada wa kibongo mnawaendekeza wenyewe. Unadhani huko kenya wadada hawatamani kulipiwa!? Kwa nn hawAlipiwi? Ni kwa sababu wanaume wa kenya wanajitambua na wanawachana live.Nafikiri pitia michango yangu hapo juu kwanza
Dawa wakija wengi unamchukua yule aliyekuja nae yeye unamuacha pale.Sielewi kwanini uitwe wewe uje na marafiki zako...tena bila kumwambia aliyekuita yaani unamfanyia sapraiz?
Huu ni utoto ila inategemea na mazingira mliyokutana na huyo main manzi
Umenijibu utumbo.Sina haja ya kwenda huko, nnachotaka kusema ni kuwa hao unaowasema wadada wa kibongo mnawaendekeza wenyewe. Unadhani huko kenya wadada hawatamani kulipiwa!? Kwa nn hawAlipiwi? Ni kwa sababu wanaume wa kenya wanajitambua na wanawachana live. Sasa ninyi kibongo bongo mnaleta unafki mnawachekea chekea ndo maana hawaachi hiyo tabia
Huna ww ila mwamba alifanya la maana sana nyie ndyo wale wa kujifanha nice menHuo ni ushamba wa miaka 1980s.
Sasa hivi hatuko hukoo wee mjinga
Huwezi amini mpaka mimi najishangaa ilíkua mimi au nilirogwa miaka yote mitatu!!!!Duuuh yule dada wa CBE ana roho ngumu balaa!!!!Afu cha ajabu hatukunanii eti mpaka tufunge ndoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah kamlogee aseeeh.
Unataka kula hela ya mtu harafu hautaki kuliwa? nitakupiga nikutoe menoIla watu wanapitia mengi huko kwenye outings.
Shost angu akapataga danga jipyaa, akamuomba amtoe out weekend 1, bas shost huyo had kwangu eti ananambia mie nijiandae weekend kuna mtokoo, khee namuuliza mtoko vipi tena eti kuna danga limemuambia hvyo,
Nkamuambia amekuomba wee akutoe out, sasa mie nahusikaje hapo? Anaanzaa oooh wee hutak kwenda ku slay, nkamuambia sio sahihi kwenda na mie, akaanza kukasirika, nkamchana ukweli shost niachee nenda mwenyewe sitaki niwe kero kwa mtoko wenu, km hutaki kuliwa hiyo weekend wee tafuta kisingizio utamuambia. Bas tukaachana.
Kumbe yeye kaenda kutafuta dadaz wengine wawili watoke nae, bas siku ikafika wakatumiwa usafiri kuwachukua, wakaenda had alipo jamaa ni The Elements Masaki, kufika kulee kumkuta dangaa yupoo hapo, wale mashost wakakaa nao waka agiza wanavyotumia had muda danga alipoona ni sahihi waka enjoy na shost, akamuomba kuwa wenzie awarudishe chuoni, shost akaanza eti akiwaacha itakua sio vizuri, bas danga akakubali ila hakuridhika, waka agana akawachukulia usafiri kuwarudisha chuo wote.
Yulee danga alijua kutuma matusi, alianza kuwachamba wale mashost kila m1 jinsi alivyoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sio kwa vile vichambooo khaaah.
Ananioneshaa text shost, nkajisemea nilijua tena ningekua na mie sasa huu mzigo was matusi na kichamboo ungekua wangu wotee, khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachuo wanafanya hivyo huwa hawataki kuliwa ndo wanakuja group. Mweeeeeh.
Wewe ndyo mshamba wa kujaji maamuzi ya mtu kama angekuwa hamuamini si angechagua mwanamke sehemu anayoona ni safe kwake acha shobo dundoUjafikia umri wakufanya mapenzi first date unataka aje pekee anajuaje wewe kama ni mtu mwema unaushamba sana mtoto wa kiume unakuja kuadithia upuuzi hapa katika shamba la wanaume?? Wewe unaona kama umewakomoa yawezekana kuna mahali walipata changamoto kutokana na hilo ulilolifanya! Basi nikwambie KARMA NEVER SLEEP,KARMA IS BITCH KARMA WILL REVENGE IN OTHER WAY! Ndiyo ujumbe nakuachia.
Wewe ndo umeanza kuniquote, usirudie tena kujibu watu wenye akili kubwa wakati unajijua akili zako ni za kuvukia barabara tuUmenijibu utumbo.
Huo sio mtazamo wangu.
Ndio maana nilikwambia usome michango yangu.
Pita hivi na usini quote utumbo huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umelogwaaa wee.Huwezi amini mpaka mimi najishangaa ilíkua mimi au nilirogwa miaka yote mitatu!!!!Duuuh yule dada wa CBE ana roho ngumu balaa!!!!Afu cha ajabu hatukunanii eti mpaka tufunge ndoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakin now dayz wanaume wamekua wajanjaIla watu wanapitia mengi huko kwenye outings.
Shost angu akapataga danga jipyaa, akamuomba amtoe out weekend 1, bas shost huyo had kwangu eti ananambia mie nijiandae weekend kuna mtokoo, khee namuuliza mtoko vipi tena eti kuna danga limemuambia hvyo,
Nkamuambia amekuomba wee akutoe out, sasa mie nahusikaje hapo? Anaanzaa oooh wee hutak kwenda ku slay, nkamuambia sio sahihi kwenda na mie, akaanza kukasirika, nkamchana ukweli shost niachee nenda mwenyewe sitaki niwe kero kwa mtoko wenu, km hutaki kuliwa hiyo weekend wee tafuta kisingizio utamuambia. Bas tukaachana.
Kumbe yeye kaenda kutafuta dadaz wengine wawili watoke nae, bas siku ikafika wakatumiwa usafiri kuwachukua, wakaenda had alipo jamaa ni The Elements Masaki, kufika kulee kumkuta dangaa yupoo hapo, wale mashost wakakaa nao waka agiza wanavyotumia had muda danga alipoona ni sahihi waka enjoy na shost, akamuomba kuwa wenzie awarudishe chuoni, shost akaanza eti akiwaacha itakua sio vizuri, bas danga akakubali ila hakuridhika, waka agana akawachukulia usafiri kuwarudisha chuo wote.
Yulee danga alijua kutuma matusi, alianza kuwachamba wale mashost kila m1 jinsi alivyoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sio kwa vile vichambooo khaaah.
Ananioneshaa text shost, nkajisemea nilijua tena ningekua na mie sasa huu mzigo was matusi na kichamboo ungekua wangu wotee, khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachuo wanafanya hivyo huwa hawataki kuliwa ndo wanakuja group. Mweeeeeh.
Kwa nini ufe na kitu rohoni, hivi ungemwambia huna bajeti ya rafiki yake unadhani ungeonekana masikini au unadhani ungekuwa umejishusha?Umefanya vzr mm nilifanyiwa hvyo hvyo sijui siku hzi wanaambiana ,mnk nilimfata hapo kimara akaniita akniambia nimkute kwake Kisha ghla Niko njia nane hapo bonjokwa Yuko ktk bar fln hapo nimeingia ndani Cha Kwanza akaanza kuagiza mizosi na kusema Ana njaa akaita rafika ake akasema nimnunulie chakula dah elf35 ikapotea nikasema nikakah hapa Hadi saa sita laki itapoteaa mnk walianza kunywa kwa sifa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tatizo ushakula salio lako lote la outing🤣🤣🤣Watoto wanapitia maisha magumu..sisi wazee tunavyobembelezwa kutolewa out na bado tunaringa🤣 unaulizwa unataka kula wapi unachomoa.... lro niko busy....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaah!!Unataka kula hela ya mtu harafu hautaki kuliwa? nitakupiga nikutoe meno