Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Kwa nini ufe na kitu rohoni, hivi ungemwambia huna bajeti ya rafiki yake unadhani ungeonekana masikini au unadhani ungekuwa umejishusha?

Back in the days nimewahi kuwa katika mazingira ambayo mkitoka kila mtu analipia chake, au anakuambia kabisa you'll take care of drinks na mimi vyakula. Hakuna kupeana stress wakati mmetoka kufurahia. Najua kwa maisha yetu ni ngumu japo wapo wachache wanajitahidi, ila usiletewe mzigo wa kundi la watu uwalishe na kuwanywesha in the name of outing, unless of course mlipanga kutoka as a group.

Principle iko hivi, ukiniita manake una budget yangu, nikikuita manake nina budget yako.
Usisahau nchi hii inafake kila kitu.
 
Vijana wanaonyweshwaga pombe na wanaume wenzie ndyo watammandi jamaa ila msela alifanya la maana sana hawa mabinti ukijichekesha tu kesho unajikuta unaamka unapiga miyao tu wakati jana ulikuwa na laki mbili ulichokifanya hakuna, mtu umeitwa mwenywe alafu unakuja na kijiji alafu wanakunywa savan alooo boss hongera sana maana ulieshimu pesa na jasho lako kuliko kueshimu awa kenge maji

Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
 
Watoto wanapitia maisha magumu..sisi wazee tunavyobembelezwa kutolewa out na bado tunaringa[emoji1787] unaulizwa unataka kula wapi unachomoa.... lro niko busy....
Hata sio wazee tyuuh, hata watoto baadhi unakuta hana interest na outings ila ndo reqs za outs zinakua nyingi kwake had keroo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upelee humuota asiye na kucha.
 
Huyu kijana atakushangaa sana.

20230114_130059.jpg
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.

Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.

Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Hio ni elimu elekezi ya utu hongera sana
 
Sasa hivi tunatumbia mbinu mpya hii inaitwa""""MTEGO WA KUKU"""Hiyo mbinu hata wewe coca huchomoi au kuchomoka!!!!!Unanasa tu hata uwe mjanja vipi
Nashukuruu sio mtu wa outings, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babee angu had huwa anachukia, anachofanya sasa akitoka out nisilalee had yeye atoke huko afike kwake.

Ananitesaa..
 
Kama ungelipia bills alafu ukawarudisha salama na kutafuta muda umwambie ukweli. Ungeokoa mambo mengi, lakini mpaka hapo umeanza mechi 3-0.
Warembo wako wengi sana mjini apa kwann uteseke na mmoja ambaye akili zake aziko sawa yani utumie pesa ambayo haiko kwenye mipangilio yako what a https://jamii.app/JFUserGuide

Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
 
Fafanua Mwamba
Sasa Wadiz nikifafanua hawa wadada kama dadangu Coca na dadangu Miss natafuta watajua mbinu zetu!!!!Anyway ngoja nifafanue tu"""""Kwanza kabisa lazima uwe unajua tabia za kuku zipoje Wadiz.....!!!
 
Back
Top Bottom