Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Mkuu umezaliwa juzi? Mkwawa anayoizungumzia unahisi ilikuwa shule ya kata kama ya kule kishumunduni? Embu kajiandae na sup harakaKwanza ushasema ulisoma Mkwawa,mpaka hapo udhaifu tumeshauona,Ng'ombe wa maskini hazai ulitakiwa malengo yako kidogo uwe sehemu salama ungelisoma shule za Private,
Mdau wa elimu....,ya nn kuhusisha waliopasua na madalali...,usome nje ujielewe uwe dalali...eti mdau wa elimu madalali wangapi wamefika huko au unawajua wangapi...Hujanielewa..ni muumini sana wa elimu!
Mdau wa elimu....,ya nn kuhusisha waliopasua na madalali...,usome nje ujielewe uwe dalali...eti mdau wa elimu madalali wangapi wamefika huko au unawajua wangapi...
Sio kuvamia mada...watu ka nyie kipindi hiki mpo wengi sana....watu ka ww ndo huwaandama graduates kipindi hiki...wacheni upotoshaji...Haaah unaonekana umevamia mada
Sio kuvamia mada...watu ka nyie kipindi hiki mpo wengi sana....watu ka ww ndo huwaandama graduates kipindi hiki...wacheni upotoshaji...
Nalog off
Kwa hiyo mkuu wote walio na elimu unayosema wapo makazini?
AsanteSasa nimeamini una shida sehemu ww sio bure!pole...
Matokeo yako ndio yaliyoku judge kufika hapo ulipo
Ulidunda pepa.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunasoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Kaka yangu 1979, enzi hizo Mazengo PGM alihakikishiwa kabisa urubani, akaishia vipimo na mizani, na akili za kufa mtu kichwani. Mufindi Paper Mill (Mgololo) akaishia ukarani hadi kifo chakeHata mm nakumbuka nilikua naambiwa PGM ni urubani au uhandisi...lakini ishi ndoto zako, ng'ang'ana ufike ndoto zako!