Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Mkuu umezaliwa juzi? Mkwawa anayoizungumzia unahisi ilikuwa shule ya kata kama ya kule kishumunduni? Embu kajiandae na sup harakaKwanza ushasema ulisoma Mkwawa,mpaka hapo udhaifu tumeshauona,Ng'ombe wa maskini hazai ulitakiwa malengo yako kidogo uwe sehemu salama ungelisoma shule za Private,