Jobless graduate
Member
- Apr 1, 2019
- 96
- 135
Hapana, mwambie kama anataka kuwaona Simba kwa urahisi aende kwenye hifadhi ya VPL kule wapo wengi hatari na wanatisha balaaaUkitaka kuwaona simba kiulaini nenda usiku peke yako. Utaenjoy mkuu.
Sikuifurahia ile safari..... Nakumbuka kabisa. Nilijiona nimekwenda kuchoka zaidi.Vizuri unapoenda mbugani. Nenda kwa ajili ya kutalii sana,yaani kurefresh akili tu,usifikirie sana kuona wanyama tu. Kwa sababu wanyama karibu wote hata kwa picha tayari unawafahamu. Nenda kurefresh tu,hata kufurahi mandhari tu. Sawa na unapoenda ufukweni iwe baharini au ziwani si lazima ukaogelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu, nitakupitia hapo twende tukawacheki pamoja......Nenda usiku bila tour guides mkuu. Utawakuta wanapiga stories maeneo amazing
Nilishawaangalia sana wamenikifu.Poa mkuu, nitakupitia hapo twende tukawacheki pamoja......
Saadani kule kwa wanaotaka kuona Twiga, Tembo na Ngiri hao wapo tele na vingedere. Pia kule mtoni kuna viboko na Mamba wanyama wengine ni shughuli kuwaona.Nimetembelea Mbuga nyingi, moja ya sehemu unazoweza kuwaona wanyama kiurahisi ni hilo korongo la ngorongoro. Trust me. Nenda Saadani au Tarangire halafu ulinganishe na hapo, ngorongoro ipo juu....tatizo ni hiyo management tu...mambo ya C.A.G
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kaona twiga vile[emoji23]Umeniita vizuri dear.... mpaka nikasahau tulikuwa tunaongelea nini.....[emoji7][emoji3059]
Mkuu labda ulikuwa na bahati mbaya tu siku hiyo... lakini kati ya mbuga zote nchi hii ngorongoro crater ndo mahala ambapo unapokwenda una uhakika kwa asilimia zaidi ya 90 wa kuona simba Tembo pamoja na faru.Hivi majuzi nilibahatika kufika ngorongoro national park eneo la crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.
Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa mda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko,digidigi,punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!
Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!
matarajio yangu nilizani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.
Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
We nomaUkitaka kuwaona simba kiulaini nenda usiku peke yako. Utaenjoy mkuu.
Uko vizuri.Nilishawaangalia sana wamenikifu.
Wengine nilipiga nao picha (selfie) nimewakumbatia.
kweli Adventure is not for everyone ... usiende tena had ujue maana ya advntureHivi majuzi nilibahatika kufika ngorongoro national park eneo la crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.
Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa mda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko,digidigi,punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!
Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!
matarajio yangu nilizani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.
Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
sawakweli Adventure is not for everyone ... usiende tena had ujue maana ya advnture
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu simba akimuona mmasai harufu yake mwenyewe anakata kona.Shuka wewe na harufu yako ya sabuni na perfume anakufanya asusaUsiige kunya kwa tembo mkuu
harufu ya pumbuje?Mkuu simba akimuona mmasai harufu yake mwenyewe anakata kona.Shuka wewe na harufu yako ya sabuni na perfume anakufanya asusa
Sent using Jamii Forums mobile app
harufu ya pumbuje?