Nilidhani ukiingia mbuga ya wanyama Unaona wanyama kirahisi kumbe napo tabu tupu

Nilidhani ukiingia mbuga ya wanyama Unaona wanyama kirahisi kumbe napo tabu tupu

Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!

matarajio yangu nilizani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.

Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Kabisa Bro, mwaka jana mwezi wa saba nilikwenda serengeti pia. Alinifariji Twiga tu akivuka barabara mbele yetu, ule mwendo wake sita sahau, anavutia sana! Nilitegemea kuwaona simba na tembo kwa wingi nasikitika haikua bahati yangu.

Nilijiuliza inakuaje kwa Wageni ambao hutoka mataifa ya mbali wanapotembelea mbuga zetu na wasione walichotarajia kuona, huwa wanajiskiaje?!
 
Ukitaka kuwaona weka appointment, wana maisha yao na wanavyowindwa wengi hujificha.... na sio wengi kama unavyoona kwenye filamu.

Usile Mbegu.
 
Ukitaka kuwaona weka appointment, wana maisha yao na wanavyowindwa wengi hujificha.... na sio wengi kama unavyoona kwenye filamu.

Usile Mbegu.
kuna majangili ngorongoro creta? hao watakuwa gem labda

Quote
 
Hivi majuzi nilibahatika kufika ngorongoro national park eneo la crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.

Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa mda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko,digidigi,punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!

Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!

matarajio yangu nilizani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.

Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Mkuu next time ukitaka kuwaona Simba vizuri pitia njia ya TP mazembe! Utawaona kwa ukaribu na unaweza kuwapakata kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo we uldhani mitembo na mifaru ikae inakusubiri wewe uwaone kw angle iliyokukalia poa kirahisi rahisi! na wao huwa wako bize na maisha yao.

ni sawa na mtu wa tunduma aje dar azunguke halafu ashangae mbona kafika dar hajamuona diamond wala wema wala makonda, wakati hao watu wako bize na mambo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unamfananisha FARU na diamond we kweli pwagu
 
kwahiyo we uldhani mitembo na mifaru ikae inakusubiri wewe uwaone kw angle iliyokukalia poa kirahisi rahisi! na wao huwa wako bize na maisha yao.

ni sawa na mtu wa tunduma aje dar azunguke halafu ashangae mbona kafika dar hajamuona diamond wala wema wala makonda, wakati hao watu wako bize na mambo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unamfananisha FARU na diamond we kweli pwagu
 
Serikali sijui imeferi wapi kwa sasa zamani kwenye baadhi ya mikoa kulikuwa na zoo mfano mwanza ple pasiasi ulikuwa ukienda unaona wanyama takribani wote wakiwa wamefungiwa kwenye mabanda, pale Tabora kulikuwa na zoo napo ulikuwa hivyo hivyo siku za sikuu au week end wazazi walitembelea na familia zao kwenda jionea wanyama na ndege wa aina mbali mbali

Kuna kipindi nilienda dar zoo nikiwa na picha ile ile ya zile zoo nilizokuwa nikiziona udogoni mwangu ila nilipofika uko hakuna lolote niliona simba tu

Wito wangu wizara husika ebu fanyeni kitu watoto wapate kukifunza kwa kuona siyo lazima site twende bugani on a mdau analalamika hapa kafika mbugani hakuna kitu

Tatizo wazili mwenye dhamana kageuka mwandishi wa story za Instagram sijui nje ya box baada kudeal na vitu vya msingi vilivyofanya tumjue yupo kutuadithia hadithia tu akitaka tuamini kakulia kwenye shida yeye ni mpambanaji tunasubilia ajichanganye tufukue makaburi
Hela za kuwalisha wanakula wajanja sasa patabaki kitu yaani mswahili hata pepo ingekuwa inaonekana wangeiba ikabaki moto tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Bajeti ya kuwalisha hao wanyama mkuu tuambie

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sehemu ni kubwa na inakuwa na baadhi ya wanyama wanaozunguka freely na unaingia na magari bila kushuka ingekuwa poa sana na ingejilipa sana
Hii sina maana mbuga bali sehemu iliyofungwa
Nimeziona nyingi za hivi Ulaya wakiwa wamebeba wanyama wetu wengi na kuwaweka kwenye uzio kama Whipsnade Zoo na zinajiendesha kwa faida hata kama wakifunga kwa msimu
Ila tatizo kwetu ni ujanja mwingi sana


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Dmkali kumbe tulikua wote kwenye interview NCAA juzi. Hongera hukuvhaguliwa. Tangu awali nilikua najua huwezi kwenda Ngorongoro kwa kujitegemea. Njoo PM uone picha uliyopigwa
 
Kabisa Bro, mwaka jana mwezi wa saba nilikwenda serengeti pia. Alinifariji Twiga tu akivuka barabara mbele yetu ule mwendo wake sita sahau, anavutia sana. Nilitegemea kuwaona simba na tembo kwa wingi nasikitika haikua bahati yangu.

Nilijiuliza inakuaje kwa Wageni kutoka mataifa ya mbali wanapotembelea mbuga zetu na wasione walichotarajia, huwa wanajiskiaje?!
Haaa haaa twiga huwa anatembea mguu wa kushoto na mkono wa kushoto yaani side moja inamove pamoja [emoji23][emoji23][emoji23]

Few years from now you may wish you should have started today...
 
Mikumi nako changamoto. Nilienda Novemba mwaka jana. Hatukuona chui, simba tuliishia kuona mkia tu kalala nyuma ya mti.
Nenda usiku bila tour guides mkuu. Utawakuta wanapiga stories maeneo amazing
 
Nenda tena Mkuu maana siku hazifanani?
Hivi majuzi nilibahatika kufika ngorongoro national park eneo la crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.

Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa mda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko,digidigi,punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!

Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!

matarajio yangu nilizani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.

Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi nilibahatika kufika ngorongoro national park eneo la crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.

Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa mda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko,digidigi,punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!

Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!

matarajio yangu nilizani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.

Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Next time nenda zoo.
 
Back
Top Bottom