Nilienda kanisa fulani leo kumsindikiza rafiki, mavazi ya mabinti kadhaa yamenishangaza. Kwao wanajidanganya Mungu anaangalia roho si mavazi

Nilienda kanisa fulani leo kumsindikiza rafiki, mavazi ya mabinti kadhaa yamenishangaza. Kwao wanajidanganya Mungu anaangalia roho si mavazi

Usihukumu wewe hata mmoja coz kipimo upimacho na wewe utapimiwa.Sioni ajabu huyo muumini kuvaa hivyo kama alikwenda kutafuta maslahi yake yakuhusu Nini wewe .

Mbona wewe Nia Yako ya kwenda kanisani ilikuwa ni kumpa rafiki yako kampani na sio kwenda kula chakula Cha kiroho?
Kanisa ni sehemu takatifu, mtu kwenda kavaa mavaz haya utadhani kaenda bar kujiuza si sawa, lazima kuwe na mipaka.
 
kwa kweli makanisani ni hatari sana, Hata ukiwa eneo la karibu tu unaipata vizuri.
 
Kanisa ni sehemu takatifu, mtu kwenda kavaa mavaz haya utadhani kaenda bar kujiuza si sawa, lazima kuwe na mipaka.
Kanisa ni sehemu inagoma mtu mafundisho ya kiroho,

Leo akienda hivyo,Mafundisho ya kiroho ya kimuingia taratibu atabadilika mwenyewe bila kulazimishwa,

Ni kama wew tu kipindi ulipokuwa mtoto ulikuwa unavaa nguo ina mamichuzi ya maharage,nyama matongotongo Nk,Baada ya kujitambua sidhani kama unavaa hvyo tena.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
.....kanisa linapitia wakati mgumu sana, Leo kanisani kaingia kijana wa kiume ana dalili zote za u-punga sababu alisuka Rasta, kavaa hereni masikio yote na mbaya zaidi alibeba pochi ya kike... Mwisho Kiongozi alisema jamaa walikuwa na ajenda ya kusali kila kanisa ili watu waanze kuwazoea kwenye Nyumba hizo za Ibada. Askofu yupo vizuri kaandika Barua ya kuonya uwepo wa mambo hayo na kuwataka waumini wajadili kupitia familia na jumuiya ili wapendekeze nini kifanyike kuinusuru nchi kwa kuenea zaidi kwa hali hiyo... Mungu atusaidie sana.
 
Sisi waumini wa kanisa hilo maarufu tunapenda waumini kama hawa wawemo tu
 
Kanisa ni sehemu inagoma mtu mafundisho ya kiroho,

Leo akienda hivyo,Mafundisho ya kiroho ya kimuingia taratibu atabadilika mwenyewe bila kulazimishwa,

Ni kama wew tu kipindi ulipokuwa mtoto ulikuwa unavaa nguo ina mamichuzi ya maharage,nyama matongotongo Nk,Baada ya kujitambua sidhani kama unavaa hvyo tena.



Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
acha visingizio vya kipumbavu, watu wanaruhusiwa kunywa pombe kanisani, watu wanatuhusiwa kufanya ngono kanisani, watu wanaruhusiwa kuiba kanisani...

Kanisani ni sehemu takatifu, fanya ujinga wako nje ya kanisa ila kanisani fika ukionyesha nia ya kuwa katika njia inayompendeza Mungu.

Mnataka watu waanze kuingia na vichupi ?
 
Mkuu bora na wew umeliona hili, maana siku zote kile watu wanachokidharau, huwa ndio ukweli lakini kile wanachokiamini ndio uongo kabisa.

Tena hii ukiwa na nia ya kweli kutoka moyoni na ukafanya research, basi mda utaongea maana taratibu utanza kuona uhuni uliopo kwa hizi dini.
 
Leo asubuhi niliweza kwenda kanisani kumpa kampani rafiki yangu,

Nikiwa ndani ya kanisa mojawapo maarufu hata kwa hapa duniani kuna binti aliingia kiukweli nilistushwa kwa namna ya vazi alilovaa lilivyomchora maumbile yake.

Ila ibada iliendelea kama kawaida ndipo nikakumbuka kuwa kwao wanachoamini Mungu haangalii mavazi bali roho tofauti na kwa wengine wanavyoamini maadiko hata ya biblia kwamba Mungu alishaweka sheria za mavazi yawe ya kutustiri na wanawake wasivae suruali


Japo wengine hawakuwa na mda nae ila kwangu nilishangaa sana inakuwaje mwanamke huyu mavazi aliyovaa sehemu takatifu ni kama ya kwenda kujiuza bar na kanisa hilo wala halioni cha ajabu ?

Pindi tunavyotoka nikasema huyu lazima nimpige picha na kweli nikaweza kuipata picha tukiwa nje japo kwa manati.

Hivi kweli makanisa makubwa yanashindwa suala la mavazi hata na wale wengine wa jumamosi ?

View attachment 2582156
Dahhh!mtihani huu
 
Kuna tatizo lipi kumpa kampani rafiki yangu kwenda kanisani, Au hujui amrikuu ya yesu ni sisi wanadamu kupendana ?
Hata huyo aliyevaa hivyo unajuaje kama alimpa mtu kampani na hakwenda kuabudu.
 
Una ujinga kichwani kwako?, Ulienda kanisani kwaajili ya kusimdikiza mtu? , Kwahiyo hapo no kanisani?.
 
Leo asubuhi niliweza kwenda kanisani kumpa kampani rafiki yangu,

Nikiwa ndani ya kanisa mojawapo maarufu hata kwa hapa duniani kuna binti aliingia kiukweli nilistushwa kwa namna ya vazi alilovaa lilivyomchora maumbile yake.

Ila ibada iliendelea kama kawaida ndipo nikakumbuka kuwa kwao wanachoamini Mungu haangalii mavazi bali roho tofauti na kwa wengine wanavyoamini maadiko hata ya biblia kwamba Mungu alishaweka sheria za mavazi yawe ya kutustiri na wanawake wasivae suruali


Japo wengine hawakuwa na mda nae ila kwangu nilishangaa sana inakuwaje mwanamke huyu mavazi aliyovaa sehemu takatifu ni kama ya kwenda kujiuza bar na kanisa hilo wala halioni cha ajabu ?

Pindi tunavyotoka nikasema huyu lazima nimpige picha na kweli nikaweza kuipata picha tukiwa nje japo kwa manati.

Hivi kweli makanisa makubwa yanashindwa suala la mavazi hata na wale wengine wa jumamosi ?

View attachment 2582156
Mkuu kama ulichukua na namba nitumie dm tafadhali
 
Screenshot_20230409-135837.jpg
 
Back
Top Bottom