Kiongozi wa madrasa akilawiti mtoto kisha watu wakaulalamikia uislam mnasema kosa la mtu mmoja haifai kuuingiza uislam wote, Ila mkristo akifanya upuuzi mnauunganisha ukristo wote....nyie watu ni wajinga kupita kiasi.Ndo hivyo ukiristo ni ubabaishaji tu na ukafiri
Kanisa ni sehemu takatifu, mtu kwenda kavaa mavaz haya utadhani kaenda bar kujiuza si sawa, lazima kuwe na mipaka.Usihukumu wewe hata mmoja coz kipimo upimacho na wewe utapimiwa.Sioni ajabu huyo muumini kuvaa hivyo kama alikwenda kutafuta maslahi yake yakuhusu Nini wewe .
Mbona wewe Nia Yako ya kwenda kanisani ilikuwa ni kumpa rafiki yako kampani na sio kwenda kula chakula Cha kiroho?
Kafiri ni wewe usiyejielewa,Unaishi Duniani kama hayawani ndege wa angaNdo hivyo ukiristo ni ubabaishaji tu na ukafiri
Na kwenda kumpa kampani rafiki sehemu takatifu je ni sawa ?Kanisa ni sehemu takatifu, mtu kwenda kavaa mavaz haya utadhani kaenda bar kujiuza si sawa, lazima kuwe na mipaka.
Kanisa ni sehemu inagoma mtu mafundisho ya kiroho,Kanisa ni sehemu takatifu, mtu kwenda kavaa mavaz haya utadhani kaenda bar kujiuza si sawa, lazima kuwe na mipaka.
Sema ukweli ulienda kuvizia mademu na siyo kusindikiza mtu bana
acha visingizio vya kipumbavu, watu wanaruhusiwa kunywa pombe kanisani, watu wanatuhusiwa kufanya ngono kanisani, watu wanaruhusiwa kuiba kanisani...Kanisa ni sehemu inagoma mtu mafundisho ya kiroho,
Leo akienda hivyo,Mafundisho ya kiroho ya kimuingia taratibu atabadilika mwenyewe bila kulazimishwa,
Ni kama wew tu kipindi ulipokuwa mtoto ulikuwa unavaa nguo ina mamichuzi ya maharage,nyama matongotongo Nk,Baada ya kujitambua sidhani kama unavaa hvyo tena.
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Dahhh!mtihani huuLeo asubuhi niliweza kwenda kanisani kumpa kampani rafiki yangu,
Nikiwa ndani ya kanisa mojawapo maarufu hata kwa hapa duniani kuna binti aliingia kiukweli nilistushwa kwa namna ya vazi alilovaa lilivyomchora maumbile yake.
Ila ibada iliendelea kama kawaida ndipo nikakumbuka kuwa kwao wanachoamini Mungu haangalii mavazi bali roho tofauti na kwa wengine wanavyoamini maadiko hata ya biblia kwamba Mungu alishaweka sheria za mavazi yawe ya kutustiri na wanawake wasivae suruali
Japo wengine hawakuwa na mda nae ila kwangu nilishangaa sana inakuwaje mwanamke huyu mavazi aliyovaa sehemu takatifu ni kama ya kwenda kujiuza bar na kanisa hilo wala halioni cha ajabu ?
Pindi tunavyotoka nikasema huyu lazima nimpige picha na kweli nikaweza kuipata picha tukiwa nje japo kwa manati.
Hivi kweli makanisa makubwa yanashindwa suala la mavazi hata na wale wengine wa jumamosi ?
View attachment 2582156
Hata huyo aliyevaa hivyo unajuaje kama alimpa mtu kampani na hakwenda kuabudu.Kuna tatizo lipi kumpa kampani rafiki yangu kwenda kanisani, Au hujui amrikuu ya yesu ni sisi wanadamu kupendana ?
Kanisha ni ukumbi wa shughuli,hata Ibada zenyewe ni shughuli/event tuUmekwisha wewe na huyo ulieenda nae, yani unaenda kanisani kwa kigezo cha kampani ?
Mkuu kama ulichukua na namba nitumie dm tafadhaliLeo asubuhi niliweza kwenda kanisani kumpa kampani rafiki yangu,
Nikiwa ndani ya kanisa mojawapo maarufu hata kwa hapa duniani kuna binti aliingia kiukweli nilistushwa kwa namna ya vazi alilovaa lilivyomchora maumbile yake.
Ila ibada iliendelea kama kawaida ndipo nikakumbuka kuwa kwao wanachoamini Mungu haangalii mavazi bali roho tofauti na kwa wengine wanavyoamini maadiko hata ya biblia kwamba Mungu alishaweka sheria za mavazi yawe ya kutustiri na wanawake wasivae suruali
Japo wengine hawakuwa na mda nae ila kwangu nilishangaa sana inakuwaje mwanamke huyu mavazi aliyovaa sehemu takatifu ni kama ya kwenda kujiuza bar na kanisa hilo wala halioni cha ajabu ?
Pindi tunavyotoka nikasema huyu lazima nimpige picha na kweli nikaweza kuipata picha tukiwa nje japo kwa manati.
Hivi kweli makanisa makubwa yanashindwa suala la mavazi hata na wale wengine wa jumamosi ?
View attachment 2582156