Nilienda kanisa fulani leo kumsindikiza rafiki, mavazi ya mabinti kadhaa yamenishangaza. Kwao wanajidanganya Mungu anaangalia roho si mavazi

Nikusaidie jambo moja kwamba shule zinaongezeka,vyuo vinaongezeka,misikiti inaongezeka,makanisa yanaongezeka na MAZOMBI(walking dead) PIA WANAONGEZEKA.Wengi katika watu na majini akili zao 'zimetuama'.Wanafuata utashi wa nafsi zao.Hawa ni maiti ijapokua wanatembea.
 
Wewe utakuwa chiz.i, nani alikwambia Mungu anaangalia mavazi.

Enzi za mababu zetu hawakuwa na nguo, inamaana walitenda dhambi?
Leo siku ya pasaka nilimuahidi rafiki kwamba nitampa kampani kwenda kanisani kwao (ni kanisa mojawapo marufu duniani) lakini pia nami niweze kujionea shghuli zinazofanyika katika siku hii pamoja na kusikiliza maneno takatifu.
 
watakwambia kinachoangaliwa ni roho mkuu
Ujue imeandikwa
Yakobo 4:4
[4]Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu.
Ye adulterers and adulteresses, know ye not that the friendship of the world is enmity with God? whosoever therefore will be a friend of the world is the enemy of God.

Chochote kinachokubalika kwenye Dunia hii iwe mavazi, mitazamo na Matendo ni kuwa adui wa Moja Kwa Moja na Mungu.
Chanzo kikuu Cha zinaa ni mavazi , Mtume Yakobo aliona mbali sana enzi hizi.
 
Jumapili ya pasaka niliweza kwenda katika moja ya kanisa na nikakutana na maajabu ya binti moja kuingia na body taiti na kishati chepesi kinachombana ila niliambiwa kinachoangaliwa ni roho di mavazi, niliweza kuelezea huu mkasa pamoja na kuambatanisha picha >> hapa <<

Angalau hapo zamani ukivaa hovyo makanisani utageuzwa mlangoni kuambiwa ukavae kwa staha ama kufukuzwa kabisa, lakini kwa sasa watu kwenda kanisani wakiwa wamevaa hovyo ni jambo ambalo linazidi kushamiri na mkanisa yapo kimya.

JE KAMA MUNGU HAANGALII MAVAZI ANAANGALIA ROHO, HAYA MAVAZI NI SAWA ?

 
Kwanini umetaja hayo madhehebu?? Kwamba hayo madhehebu yanaruhusu hayo mavazi au ni uchochezi kama uchochezi mwingine wa kidini?
 
Kwanini umetaja hayo madhehebu?? Kwamba hayo madhehebu yanaruhusu hayo mavazi au ni uchochezi kama uchochezi mwingine wa kidini?
Ni madhehebu niliyoshuhudia,,, hata kwa kkkt hapo kaangalie mavazi waliyoaa waliokuwa wakimtetea kimaro

 
Kwani babu zako na bibi zako walikua wanavaa nini?

Vibwaya, matako na maziwa yako nje

usijitoe ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…