Nilifanya maombi maalum mara kadhaa, mtumishi hadi kuja kwangu, sadaka za kujimaliza ila bado nateseka mnyororo huu, eeh Mungu nifanye nini sasa?

Nilifanya maombi maalum mara kadhaa, mtumishi hadi kuja kwangu, sadaka za kujimaliza ila bado nateseka mnyororo huu, eeh Mungu nifanye nini sasa?

Mkuu nimefanya mara kadhaa mkuu

Bila kinyongo ,bila kumpush Mungu.
Tazama ndani yako tazama baraka zako ambazo huzioni dhahiri
Fikiria hata hao wakaribu yako wasingekuwepo
Chochote kinachokutokea ww sio wa kwanza wala hautokua wa mwisho! Kuna mda shukuru hata labda una wazazi/mke /mume/watoto
Shukuru hata huumwi
 
Mbona kama mleta mada hahasema kuhusu manabii,
Anyway
Ndoto ya kwamba uko shule nani alisema kuwa ndo hurudisha maisha nyuma ama ni dalili,watu wanaota hii kila uchwao na mambo yao ni safi,umejiundia imani ndogo tu.
Punguza manung'uniko,amini unaweza fanya toba na sala na ufanye mambo yako kwa bidii ukiamini kila kitu kiko sawa,mawazo ya mpumbavu humpata(sio kuokota hela)
 
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
Usifanye chochote isipokuwa endelea kumuuliza hilo swali Mungu muumba wako. Usinase kwenye mtego wa kumuomba Mungu Jambo halafu ukajijibu mwenyewe. Nuia nafsini mwako kwa dhati kabisa kwamba utamsubiri Mungu akuongoze nini cha kufanya!. Then subiri SURPRISE yako.

Zingatia kwamba thamani ya uweza wa Mungu inadhihirika dhahiri kwenye ukomo wa Uweza wa Mwanadamu.
 
Imani ni muhimu kuliko mtaji, tatizo hapo ni credibikity ya hao manabii kama ni feki au ni manabii kweli


Tatizo linaanzia hapo mkuu


Hata marekani wana msemo wao In God we trust

Hii dunia ina siri nyingi sana
Usione watu wanapanda vyeo na kufanikiwa kwenye biashara ukadhani inatokea tu kirahisi rahisi


Kuna siri nyingi nyuma ya pazia

Kunasayansi ipo ambayo haifundishwi chuo haipomashuleni ila ipo mtaani na inafanya kazi watu wansitumia na inawasaidia


Fanya research mkuu
Naunga mkono hoja yako..mwenye akili na afahamu.
 
Mbona kama mleta mada hahasema kuhusu manabii,
Anyway
Ndoto ya kwamba uko shule nani alisema kuwa ndo hurudisha maisha nyuma ama ni dalili,watu wanaota hii kila uchwao na mambo yao ni safi,umejiundia imani ndogo tu.
Punguza manung'uniko,amini unaweza fanya toba na sala na ufanye mambo yako kwa bidii ukiamini kila kitu kiko sawa,mawazo ya mpumbavu humpata(sio kuokota hela)
Mkuu NDOTO za shule ni mbaya Sanaa..
Usiku wa kuamkia leo FEB 2024 nilitoa NDOTO ya shule nipo nafanya mtiani wa chemistry mtiani ulikua mgumu kwangu na muda ulikua unaenda haraka pembeni kwenye CHUMBA Cha mtiani alikuepo mdogo angu toka ni toke nikamwomba majibu akawa ananisaidia majibu mpaka nikakusanya mtiani.

Ndoto ilinifikilisha Sanaa Sanaa 😊 jion yake nikagongwa na gari na kuvunjika mguu wangu Mara mbili wiki mbili later dogo nae akapata ajar Kama yangu.

Ndoto Zina maana sanaa
 
Tujifunze kutoa sadaka kwa wenye uhitaji na sio kwa manabii...
Dini ya kweli ni hyo...kuona wagonjwa na wafungwa...kidogo tuu ukikitoa kwa watu hao na kumuomba Mungu atakusaidia na wao pia watakuombea..
 
Kuna vitu vingine inabidi uamue kuomba na kufunga,weka hata siku 10,ziwe za maombi yako mwenyewe,ujiombee sio kutegemea sana kuombewa,utakuja kunishukuru.Kitakachotokea kwanza ni hizo ndoto kukatika na mwishowe utaona milango inaanza kufunguka,ila kuomba na kuishi katika usafi wa kiroho iwe ni sehemu ya maisha yako...
 
Leo nimeota napigana na majitu magiant (watesi).....haya majitu yalinichokoza nikawa linakuja moja baada yamengine nayapiga ngumi mateke mpaka nayatoa meno nayavunja miguu na mikono..nimeyachezeshea kichapo balaa

So haya Ma giant mmoja baada ya mwingine piga nikupige..piga Sana mpaka baadae yakaja mababe mengine yakaanza kuniogopa na kuomba amani na Mimi.

Hii ndoto sijajua Ina maanisha nini imenifikirishaa
 
Kuna vita umevipigana bila mwenyewe kufahamu na ushindi ukaupata
Leo nimeota napigana na majitu magiant (watesi).....haya majitu yalinichokoza nikawa linakuja moja baada yamengine nayapiga ngumi mateke mpaka nayatoa meno nayavunja miguu na mikono..nimeyachezeshea kichapo balaa

So haya Ma giant mmoja baada ya mwingine piga nikupige..piga Sana mpaka baadae yakaja mababe mengine yakaanza kuniogopa na kuomba amani na Mimi.

Hii ndoto sijajua Ina maanisha nini imenifikirishaa
 
Usife moyo kazo moyo ndugu yangu

Zaburi 23 na zaburi ya 27

Hakuna mtu asiye na matatizo

Kingine naomba nikuongezee kitu

Ndoto ya kuota uko shule siyo mbaya bali ni ufunuo ambao unaoneshwa kuwa hauko peke yako Kuna watu au kuna nguvu iko nyuma yako kukushindia zidi ya tabu zako

Kama unavyo muona mwanafunzi huwa ana wazazi na walim ambao wanakuwa nyuma yake basi na wewe katika matatizo yako Kuna nguvu iko nyuma yako

Piga moyo konde umngoje BWANA
 
Ili kuskia sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yako,

ni muhimu kujitakasa kwa toba ili maskio ya roho yako yafunguke na upate kuitambua kirahisi sauti ya wito wa Mungu, ya nini Mungu anataka ufanye wapi ili hatimae maelekezo hayo ukiyatimiza yawe Baraka kwako binafsi na furaha kwa watoto na familia yako.
Mungu akuhurumie na akubariki sana gentleman 🐒

Hili linahusu wote,
Kuna mambo ni muhimu kuyaepuka ndrugo zango tunapotafuta baraka na neema za Mungu.
Mathalani,
Kwenye nyumba nyingi za ibada unaweza kuta mtu anatoka kufanya uasherati au uzinzi anaenda kuombewa apate baraka Fulani, bila kutubu kwanza najisi aliyoifanya, kisha tena mtu huyo huyo akitoka kwenye maombezi anarudi tena kwenye uasherati, na kesho anaenda tena kwenye maombi na maombezi vile vile bila kutubu. This can't work my friends ladies and gentlemen 🐒
Fact
 
Mkuu NDOTO za shule ni mbaya Sanaa..
Usiku wa kuamkia leo FEB 2024 nilitoa NDOTO ya shule nipo nafanya mtiani wa chemistry mtiani ulikua mgumu kwangu na muda ulikua unaenda haraka pembeni kwenye CHUMBA Cha mtiani alikuepo mdogo angu toka ni toke nikamwomba majibu akawa ananisaidia majibu mpaka nikakusanya mtiani.

Ndoto ilinifikilisha Sanaa Sanaa 😊 jion yake nikagongwa na gari na kuvunjika mguu wangu Mara mbili wiki mbili later dogo nae akapata ajar Kama yangu.

Ndoto Zina maana sanaa
DUUUUH

MKUU POLE SANA , TENA SAANAA

NATUMAINI UPO SALAMA

YANI MKUU KWA MTU ASIELEWA ANAWEZA KUFIKIRI TUNATUNGA MAMBO
 
Ili kuskia sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yako,

ni muhimu kujitakasa kwa toba ili maskio ya roho yako yafunguke na upate kuitambua kirahisi sauti ya wito wa Mungu, ya nini Mungu anataka ufanye wapi ili hatimae maelekezo hayo ukiyatimiza yawe Baraka kwako binafsi na furaha kwa watoto na familia yako.
Mungu akuhurumie na akubariki sana gentleman 🐒

Hili linahusu wote,
Kuna mambo ni muhimu kuyaepuka ndrugo zango tunapotafuta baraka na neema za Mungu.
Mathalani,
Kwenye nyumba nyingi za ibada unaweza kuta mtu anatoka kufanya uasherati au uzinzi anaenda kuombewa apate baraka Fulani, bila kutubu kwanza najisi aliyoifanya, kisha tena mtu huyo huyo akitoka kwenye maombezi anarudi tena kwenye uasherati, na kesho anaenda tena kwenye maombi na maombezi vile vile bila kutubu. This can't work my friends ladies and gentlemen 🐒
Fact gentleman

Kumbe ukiweka pemben uchawa wewe ni mtu kabisa
 
Tatizo ulilonalo ukimpata mganga mcha Mungu linaisha haraka sana, kama utampata mtu mwema akakupeleka ni sawa.

Ila usiende bila kumfahamu vizuri huyo mganga.
Ahsante mkuu

Vp lakini watu wanasema unaweza ukaafungww kiroho na msaada wa kinganga ule

Au ni stori tu?
 
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
Mkuu unashindwa nini kuangalia upande wa pili, tiba asili? Dunia ni mapambano mkuu na aina huruma hasa sisi ngozi nyeusi,,,ndio maana jamii zetu zilikua zina kila njia ya asili kujilinda kwa kilakitu na walikua wanatimiza na wanatoboa,,,,tusisahau asili zetu bado zinafanya kazi,,,,unakuta wewe huna baya na mtu, ila kuna mtu ana baya na wewe bila sababu yoyote na wala hamna bond yoyote kwa njia yoyote, huo ndio ulimwengu bro,,,kusoma haitufanyi tuache asili zaid tunakua smart kureasoning
 
MSHUKURU MUNGU NA YAKUBALI NA UYATOE MATESO YAKO KAMA SADAKA HAPA DUNIANI, WOKOVU SI KUOMBA NA KUPATA MALI ILA NI KUILINDA IMANI YAKO ILI SIKU ILE KUU UKETI MEZANI NA BWANA HARUSI, NA HUU NDIO UTAJIRI WA KWELI KATIKA KRISTO.
 
Back
Top Bottom