Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,039
- 2,676
Stress zingine dahCm tracker apk... mtu anaweza akawasha had data cm yko kusoma whstp , msg, kuckiliza calls zko, location, kukuchukua vdeo!!! Kosa n mtu ashike cm yko ainstall hyo app utajuta
Hapa nilipo nasikiliza ngoma ya "it wasn't me" ya Shaggy, yaani hivi ndivyo inapaswa iwe, hakuna kukubali hata uwe caught red-handed, mwanaume utakosaje sababu?Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Simu used na namba zake za simu anarukaje hapoKuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Duh yamemwagika sasaHuyu bata ameshatuharibia haya mambo tulisema ni siri..😬
duh utaumia bure tuna mbinu za kivita buku ni kdogoOooh kumbe ndo zenu asante kwa taarifa😬😬
Kitochi una ji risk zaidi na rahisi kudakwa ukimpa tu police sprint taarifa zote kiganjani, dawa ni kuacha uzinziView attachment 2059244
Mwambie IT WASN'T ME!!
Kanuni: MAWASILIANO NA MICHEPUKO TUMIA SIMU AMBAYOBSIO SMARTPHONE, tumia kitochi...
Ndo.wapi huko[emoji1]...mi najua recycle bin ya picha tuItakuwa hukuzifuta kwenye recycle bin
Sasa Kama messages zinaonyesha tarehe currently na iyo sim upo nayo mda utambishia vip kua sio zako?Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
TeCno F1 haina. Samsung ndo wanazoHivi simu kumbe ina recycle bin ndio mmenifumbua macho. Naipataje?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tecno hawana hii kituHivi simu kumbe ina recycle bin ndio mmenifumbua macho. Naipataje?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hahahaàa, alienda naye Dukani na mkewe ndo alimchagulia...Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji