Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Kwanzaa nikupe pole ndugu yangu na kuhusu ushauri

Nikwamba unapswa ujielewe kwamba wewe ni mwanaume sio mwanamke na unapaswa kuwa penda na kuwa tamani Wana wake sio wanaume

Dawa ni hakili yako kuamua
 
Pole kijana ila ushauri wangu tafuta demu pia humu wadau msaidieni kijana kupata mwanamke haswa ambae hajatumika sana uone utamu wake utaacha hizo hisia ukiendekeza utashindwa kuacha bado hujachelewa nyie wadada mpo single nendeni kwa kijana hapo
 
Pole kijana ila ushauri wangu tafuta demu pia humu wadau msaidieni kijana kupata mwanamke haswa ambae hajatumika sana uone utamu wake utaacha hizo hisia ukiendekeza utashindwa kuacha bado hujachelewa nyie wadada mpo single nendeni kwa kijana hapo
Mdada gani ambae atanikubali humu jf kwa mkasa wote nilivoelezea
 
Mdada gani ambae atanikubali humu jf kwa mkasa wote nilivoelezea
KAZA MOYO FANYA MAZOEZI KWA BIDII UKIONA MTU ANAKULETEA UCHOKO MPIGE HATA JWE KIMBIA ILA NASISITIZA FANYA MAZOEZI PIA USISIKILIZE WATOA USHAURI PM WENGI WAO NI MABASHA NA HAO WANAKUHADI UFANYE UJINGA PIGA BLOCK AU WAKAMFIRE NDUGU ZAO CHA MWISHO SALI SANA UNAONEKANA KUNA ROHO ZINAKUTESA
 
Sawa mkuu nitasali na nitazingatia ushauri wako
 
Mrejesho na maoni ambayo baadhi yalio ndani ya uwezo wangu nimeufanyia kazi jana nimefanikiwa kukimbia km 3 kuna kitu cha tofauti nimekisia baada ya kukimbia na nitaendelea kufanya mazoezi kadili ya uwezo wangu kuhusu dawa kuna bado sijatake action yeyote kwanza maana watu wengi wamejitokeza kunisaidia nashukuru kwa walionisaidia pia bado napokea ushauri kwa wingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…