Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
Soma kitabu kinaitwa Atomic Habit cha James...ukizingatia kitabadili maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanzaa nikupe pole ndugu yangu na kuhusu ushauriMimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.
Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo
Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym
Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri
Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi
Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie
Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Sipo mkoaniKama upo mkoani nitakununulia bure nikutumie
Sawa asante nitajitahid kufanya ivoKwanzaa nikupe pole ndugu yangu na kuhusu ushauri
Nikwamba unapswa ujielewe kwamba wewe ni mwanaume sio mwanamke na unapaswa kuwa penda na kuwa tamani Wana wake sio wanaume
Dawa ni hakili yako kuamua
SawaMungu ndiye muweza WA Kila kitu licha ya jitiada utakazo zidi kupga kuondokana na hayo usiache kumshirikisha MUNGU ndiye atakaye kuweza kulishinda Hilo kwasababu shetani ndio mpango wake kuharibu vjana wakiume haswa wote tunaona Dunia ilipofika ...
Ok sawa pia asanteUsi panic, chchote kinawezekana hapa duniani Cha msingi weka Imani na usikate tamaa
Pole kijana ila ushauri wangu tafuta demu pia humu wadau msaidieni kijana kupata mwanamke haswa ambae hajatumika sana uone utamu wake utaacha hizo hisia ukiendekeza utashindwa kuacha bado hujachelewa nyie wadada mpo single nendeni kwa kijana hapoMimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.
Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo
Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym
Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri
Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi
Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie
Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Mdada gani ambae atanikubali humu jf kwa mkasa wote nilivoelezeaPole kijana ila ushauri wangu tafuta demu pia humu wadau msaidieni kijana kupata mwanamke haswa ambae hajatumika sana uone utamu wake utaacha hizo hisia ukiendekeza utashindwa kuacha bado hujachelewa nyie wadada mpo single nendeni kwa kijana hapo
😅😅😅😅😅😅😅😅 ahahah babu on it againDah babu uko wapi kwani.....🫦
KAZA MOYO FANYA MAZOEZI KWA BIDII UKIONA MTU ANAKULETEA UCHOKO MPIGE HATA JWE KIMBIA ILA NASISITIZA FANYA MAZOEZI PIA USISIKILIZE WATOA USHAURI PM WENGI WAO NI MABASHA NA HAO WANAKUHADI UFANYE UJINGA PIGA BLOCK AU WAKAMFIRE NDUGU ZAO CHA MWISHO SALI SANA UNAONEKANA KUNA ROHO ZINAKUTESAMdada gani ambae atanikubali humu jf kwa mkasa wote nilivoelezea
Sawa mkuu nitasali na nitazingatia ushauri wakoKAZA MOYO FANYA MAZOEZI KWA BIDII UKIONA MTU ANAKULETEA UCHOKO MPIGE HATA JWE KIMBIA ILA NASISITIZA FANYA MAZOEZI PIA USISIKILIZE WATOA USHAURI PM WENGI WAO NI MABASHA NA HAO WANAKUHADI UFANYE UJINGA PIGA BLOCK AU WAKAMFIRE NDUGU ZAO CHA MWISHO SALI SANA UNAONEKANA KUNA ROHO ZINAKUTESA
SAFI KIJANA UTUPE MREJESHO UKIFANIKIWA KUTOKA HUKO.Sawa mkuu nitasali na nitazingatia ushauri wako
SawaSAFI KIJANA UTUPE MREJESHO UKIFANIKIWA KUTOKA HUKO.
Sawa ila sio rahisi kama unavofikiriaMind game. Relax!!!¡
😡😡😡😡😡😡Sawa ila sio rahisi kama unavofikiria
Babu yuko 🔥🔥🔥 vijana warudi kindergaten😅😅😅😅😅😅😅😅 ahahah babu on it again