begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Ndio,unajua tatizo lishakuwa kubwa,lazima aje na strong plnSijaelewa yaani katikati ya mgegeduano wakati unasikia wadhungu wanakuja achomoe aende kuoga?
Ukirudi sii demu kashalala tena hana stimuNdio,unajua tatizo lishakuwa kubwa,lazima aje na strong pln
Kwani unapotibu tatizo lazima uje kivingine,na kumbuka hapo akipiga kimoja mpaka mwezi uishe,akizoea hiyo hali atapata kujiamini then atakuja na strength more,na mwanamke ajitambue asiwe mwendo kasiUkirudi sii demu kashalala tena hana stimu
Demu alale kwani anakimbiza mwenge,hapa tuko kama tiba zaidiUkirudi sii demu kashalala tena hana stimu
Sawa nitafanya ivoKumbuka kila mtu ana shida zake,wewe unachotakiwa kufanya endelea kuwatafuna wanawake kwa Kasi kubwa,tumia Asali na Kitunguu swaumu,then paka Colgate kwa Babu alafu hakikisha huna wasiwasi,then mambo ya akili slowly utazoe,ukitaka kumwaga chomoa then oga kidogo then endelea hakikisha unatawala game alafu sema I am a real man yes I am.with time utarudi live,usiangalie pornal.
Nimeshaanza kwenda makanisani mkuuUmenikumbushaa mwamba mmmoja wa ifm miakahioo somebody mosh... dah akawa anakuja beach rainbow wanamgonga live akikupenda anakufwata
Napiga sana mazoezi nkamwambia nikuunge na Watu wa Munguu wakusaidie uache akasema siwezii nataman kila siku
Kule beach wakawa wanampiga mande za maana....
Sasa sikumoja wakatoka na jamaa flan wakaenda kufanya karibu na nyumba ya mzungu kumbe anawaona cctv jamaa walikuwa wawili
Mzungu akamwita mmasai akamsomesha unaona wale nataka wote washugulikiwe
Wana mbwaa kama tembo wawili walinzi wakafungua geti polepoleee wakasakazia mbwa wale aisee dogo alitafunwaa ombooo ngandee kila sehemu na mmmoja wa wafirai nae akaliwa kama panyaaa wakafia pale
Nilisikitika sanaa...rip
Jitahidi kwenda makanisa ya kirohoi watakuombea utaacha hizo n rohoooo
Na ukiona hivyoi kuna baadhi hukoo nyuma ndugu zakooo naoo walikuwa na haka kamchezo so n kama umerithiiii........
Ukawe huru ndugu
Ok sawaHii testimony imenitoa machozi.
Angalieni tatizo la kisaikolojia la kudumu linavyomsumbua muathirika wa matendo ya ulawiti kuanzia utotoni.
Mkuu, mtafute Dr. Mariposa akupe tiba ya kisaikolojia kwanza
Niko serious kuacha sitaki kurudi nyumaNenda Maria stopes unaweza saidika. Sijui uko wapi?
Suala lako liko sensitive linahitaji watu sensitive, usipokuwa makini wataendelea kutumia your vulnerability kukumanipulate na utaendelea kuliwa, Men are just curious out there, Kuwa makini.
If you are serious lakini, maana JF nayo.
Ok sawa asantePole sana dogo maranyingi huwa nasema familia nyingi niviwanda vya kuzalishia mashoga kinachokusumbua baada ya kuingiliwa mapepo yalikuvamia ilikuhalibu mfumo wako wahisia ,huko kutokusimamisha nisababu ya kupiga punyeto kuliko pitiliza fanya toba sali sana hilo swala lita toka, kingine onana na wataalamu wa saikolojiahuyo aliye kuharibu kizazi chake hakitakuwa salama milele
Mzee wako alikua anajua hujui kukaza ungeliwa mapema tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Baba yangu alipo wapeleka ndugu zetu (wageni) wakalale wodini (hospitali), kipindikile sikumuelewa kabisa.
Ilinichukua miaka mingi kuja kugundua kwanini mzee alifanya vile.
So sad....
Kijana mdogo and he is just 25 yrs old...🤨
Amina 🙏mtumaini Mungu atakuweka huruuu kweli kweliii.....wapoo wasagajii humu wanasoma wanataman kuachaa naooo wasikkatee tamaaaa muwe karibu na Mungu
mtakuwaa salama kwelikweli
Ushaanita mzembe pia huu muda sio wa kunilaumu kitendo kishafanyika ukiwa mtoto ni ngumu sana kusema usifikirie ni rahisi na hata ukisema kile kitu kinakuwa kimekaa kichwani kwa hiyo utatafuta kila namna ukirudie hata nje ya kwenutoto zembe wewe ulikua unashindwa kusema kwawalezi wako kua unafirw?
toto zembe wewe ulikua unashindwa kusema kwawalezi wako kua unafirw?
Sawa asantewewe nimjinga bhanaa
Asante nitafanya ivo kuhusu hospitali ndio nipo kwenye mpango huo kwenda ila lazima niende safari hiiPole sana mkuu.
KAMA WEWE NI MKRISTO
sali ile sala ya Baba yetu
ILa isali ukiwa unamaanisha na ukichqmbua kifungu kimoja kimoja.
Nenda hospitali usiogope maana uoga wako ndio anguko lako.
Aibu na watanionaje havijawahi kusaidia hata kodogo
NO. Jikubali tu.Sawa asante