Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Kuna doctor anaitwa kilingo TRA yupo zanzibaR atakusaidia ni mtaalam wa saikolojia ....znz kuna kipind walitaka kufukuza sababu ya saikolojia
 
Mkuu mbona naona kabisa kama unampango kabambe wa kumla huyu choko?
 
Hilo liko kisaikolojia. Unatakiwa kuwa very strong kuikataa hiyo hali pindi hisia zinapokujia. Anza kwa kujifanyisha mazoezi na kujipa activities zinazokufanya usipate muda mwingi wa free. Ukiwa free tafuta mwanamke mnayeweza kuongea lugha moja na isitokee akaongea kauli ikakutoa relini. Ndio maana nasema unatakiwa kuwa very strong mentaly.

Tafuta mtu unayeweza share naye jambo kama hili hasa la kuwahi kumwaga. Miaka 25 we mtu mzima kabisa unaweza ku manage hili vizuri
 
Sasa huko wale washenzi si watampiga mtungo wampoteze kabisa.
Hospitali nyingi hasa za government ukienda na magonjwa ya ajabu ni mwendo wa kupigwa spana mpaka akili itakukaa sawa mgonjwa.

Bora are opt private hospital or kwa hawa matibibu wa kiasili.

Au aonane na Arsis ana babu yake anaitwa jini bakora anaweza msaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…