Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Pole sana sijui dini ipi ila jiweke karibu na Mungu pia ikatae hali hio kila ukitamani kemea hio hali ikatae ushoga usagaji ni mapepo yana control mind yako yanakupa matamanio dawa kukataa itaenda itapotea pia upate msaada wa kitabibu mcheck Dr Matthew yupo Instagram alisema anasaidia wanaume watched ushoga hata hapa JF yupo.
 
Betting is the greatest of them all
 
Mkuu mimi nakushauri kuwa busy na mambo yako, Fanya vile vitu unapenda, Kunuwa beer , Tafuta mademu wa kila aina. Uwanaume wako utarudi tu.. kumbuka beer kama safari itakufanya pia uchelewe kukojoa, na hivyo itakuongezea confidence
 
Afu sjui huwa ipoje ,mtoto wa kiume akiingiliwa mara moja,inakuwa anatokewa na hayo mambo sjui wapenda tope huwa wanajuaje,sasa ona anatoka shule jamaa kampeleka kichakan na wakat anaonekana yupo kiume
N Kama computer,..Kuna kitu kinaitwa cache..huwa ni Kama kumbu kumbu...inabakia na mtu anaependa mambo hayo nae akikuona tu basi n Kama tabia Zina match
 
Unamshauri akazini, baada umshauri aoe
 
Nenda hospitali wakupe vidonge vya hormone
 
Aiseee
 
Dah!
Nakumbuka mnamo mwaka 95 tulienda mahali kufanya shughuli Kwa kipindi Cha miezi kadhaa. Tulikua na mwenzangu akinizidi kama miaka miwili hivi. Siku moja usiku tumelala katika mazungumzo ya kutafuta usingizi baada ya shughuli za kutwa nzima, ghafla akasema tupigane kazi Kwa zamu, nimuanze yeye Kisha itafuatia zamu yangu. Mazungumzo yaliishia hapo. Nilichefukwa sana, kwanza hata mahusiano na mwanamke sikuwa nimewahi kujaribu. Pili, nilikua mtu wa ibada sana.

Ndio siku hizi natafakari huenda yule mwenzangu alikua ameshaanza haya mambo kitambo, alikua mziefu. Aliweka bayana kabisa nimuanze yeye. Inamaana hata kama ningekataa kusinfekua na tatizo lakini yeye alikua ameridhia.

Kutokana na hilo tukio, wazazi tuongeze umakini kwenye malezi ya watoto wetu, hasa wa kiume. Suala la kuwalaza na watu wengine iwe ni ndugu au wageni wa aina yoyote Ile, liepukwe kadri inavyowezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…