Sitosahau siku niliyokuja jf kuleta ushuhuda wa kuacha nyeto, kulingana na comments za wadau nilijikuta ndo narudia nyeto kwa kasi ya 4g mpaka leo.Tafuta daktari wakike akusaidie
Wakiume hawa anaweza akawa mdau ukajikuta umepata mume kamili
Wanakujibu kama ulivyokujaSitosahau siku niliyokuja jf kuleta ushuhuda wa kuacha nyeto, kulingana na comments za wadau nilijikuta ndo narudia nyeto kwa kasi ya 4g mpaka leo.
Ndio wapo wee hujaona hiyo jamaa anamdinya demu alafu demu anapiga strapon anamdinya mwanaumeDUh! Huu wa kuvaa strapon nao ni ushoga uliojificha
Wenge la kufungua ID mpyaSasa visa vyao ndo balaa wako moto wana hasira vibaya mno
Ndiyo maana nikauita ushoga sio by definition ila kwa vitendoNdio wapo wee hujaona hiyo jamaa anamdinya demu alafu demu anapiga strapon anamdinya mwanaume
Sana yaanPole sana
Wazazi kuweni makini na ndugu
Hata Mimi piaMm sio aggressive na mada hiz, ofkoz nipo kuangalia namna ambavyo kijana huyu atapata tiba kwa wadau
Betting is the greatest of them allPole kijanaa
Jikaze wewe ni DUME KUKATIKIA MAUNO MWANAUME MWENZIO ni kujiendekeza.
Imekua FANTASY yako Sasa Ila ukiamua ni very easy kwani Kuna utamu mnasikiaga..
NB.
Kuna uraibu mgumu kuacha ku mention few
*Sigara
*Madawa ya kulevya ie. Unga
*Bangi
*POMBE
*Nyeto
Mwenzio anatafuta suluhisho,wee unaleta dhihaka!kwanini lakiniBwana wee alafu ujue jamaa hapa atakuwa katuficha kitu...ata hiyo dakika ya kumwasi sii ajabu mpaka demu amtie dole kwa linda ndio ana mwaga huyu 🤣🤣🤣🤣🤣
N Kama computer,..Kuna kitu kinaitwa cache..huwa ni Kama kumbu kumbu...inabakia na mtu anaependa mambo hayo nae akikuona tu basi n Kama tabia Zina matchAfu sjui huwa ipoje ,mtoto wa kiume akiingiliwa mara moja,inakuwa anatokewa na hayo mambo sjui wapenda tope huwa wanajuaje,sasa ona anatoka shule jamaa kampeleka kichakan na wakat anaonekana yupo kiume
Unamshauri akazini, baada umshauri aoePole kupambana na addiction ni issue nyingine isee ila wewe umeonyesha kabisa hutaki huo mchezo..i hope utafanikiwa kuacha kabisa na kuwa dume la mbegu ka sisi wengine asilimia [emoji817]
Mimi nakushauri niongeleshe wewe mwenye mara nyingi kuwa wewe ni kidume na ukitaka mwanmke yyte unampata na unaweza kufanya mapenzi muda mrefu..
Then tongoza sana wanawake usiogope kukatatiliwa we tongoza tu then wanaokubali fanya nao utaona mabadiliko..
Kuna siku nikamkuta ndugu anaoga na dogo bafuni. Fasta nikamuuliza dogo kama yupo salama, nikamgua nikakuta yupo sawa.Pole sana
Wazazi kuweni makini na ndugu
Nenda hospitali wakupe vidonge vya hormoneMimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.
Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo
Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym
Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri
Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi
Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie
Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
AiseeeMimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.
Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo
Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym
Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri
Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi
Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie
Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
AsanteDuuh! Pole sana mdau.