Anthony horowitz
JF-Expert Member
- May 4, 2024
- 421
- 1,042
Jitahidi utumie, utapona kabisaAsante sana nitafanya hivyo
Unga wa msamitu naupata wapiNime kuwekea dawa hapo juu, katengeneze uta pona.
Asante sanaDuh nimekosa hata cha ku comment. Kuna mambo unaweza kuwa unayasikia kama hadithi vile kumbe yapo dunia hii.
Pole sana dogo
Nenda kariakoo, Wanapo uza dawa za kiarabu uta PattaUnga wa msamitu naupata wapi
Sawa nitajitahid kutumiaJitahidi utumie, utapona kabisa
Usiseme hivo dear .wewe ni mbarikiwa.Asante sana kuna mda huwa nahisi kama nimelaaniwa hivi
Sawa asante sana 🙏Nenda kariakoo, Wanapo uza dawa za kiarabu uta Patta
Kama upo mkoani nitakununulia bure nikutumieSawa asante sana 🙏
Tumia hizo dawa, acha nyeto, Baada ya mwezi Lete mrejesho.Sawa asante sana 🙏
Amen dada yanguUsiseme hivo dear .wewe ni mbarikiwa.
Sio wanawake wote wanapenda wanaume wanaochelewa hata
Sawa mkuu nitaleta mrejesho nikianza kutumiaTumia hizo dawa, acha nyeto, Baada ya mwezi Lete mrejesho.
Nita kupa dawa nzuri zaidi
Ndio yupoHuyo mbwa alokupumulia bado yupo?
Walaaniwe kabisaKuna mabazazi watakuwa wanapishana tu PM kujaribu bahati zao...
Hata unijue au usinijue itakusaidia nn nenda kanitangaze unapojua roho yako iwe na amaniKama umesoma seminar nshakukujua😒
Kwa hyo? Muogope MUngu mkuu.sio kila jambo la kuleta mzahaKama umesoma seminar nshakukujua😒