Nilijikuta naishi maisha ambayo sikuyategemea ila sina jinsi

Hapana hicho sio chanzo hio ni hearsay akisikia kwa watu wakisema nataka aseme chanzo na anakijua Ila hataki kusema ukweli na ukisoma huko juu amesema hatoniambia au hatotuambia chanzo au source ya huyo Mwanaume kumkimbia ukiondoa hio hearsay aliyoisikia kwa watu wakisema, yeye chanzo halisi anakijua
 
Mbona watu wa kataa ndoa hawaji[emoji1787][emoji1787]
Mwanamke hatakiwi kukataa ndoa haijalishi anapitia masaibu kiasi gani mkuu, maana ameumbwa na moyo wa chuma wa kuvumilia makosa ya mumewe, ila mwanaume ni haki yake kukataa ndoa sababu yeye kaumbwa delicate hatakiwi kuvumilia makosa ya mwanamke
 
Same same to me[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwanamke hatakiwi kukataa ndoa haijalishi anapitia masaibu kiasi gani mkuu, maana ameumbwa na moyo wa chuma wa kuvumilia makosa ya mumewe, ila mwanaume ni haki yake kukataa ndoa sababu yeye kaumbwa delicate hatakiwi kuvumilia makosa ya mwanamke
Eeeeeh, kazi tunayo wanawake loh
 
Same same to me[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Si umeona Binadamubwana amefurahi au umefumba macho, mwambie aelezee chanzo au source ya jamaa kumkimbia ondoa hio nilisikia ndugu zake wakisema amewaambia no no sio hio kuna ile deep yenyewe hata yeye anajua ndio chanzo Cha mvurugano, anajua na kusema hataki
 
Umesoma Uzi wake wote? Kuna mabaya mumewe aloyafanya na hataki kuyaandika hapa.


Ukweli nikwamba amekua jasiri kiasi Cha kuandika hapa na pengine ameandika huku analia.


Kama Kuna sababu za kwake, ninkwann Mumewe baadae aanze kujirudi??.
Watu wengine wanasoma bila kuelewa mkuu
 
Yawezekana wewe unakijua kiseme, nilishasema nina mengi ila siwezi eleza naona mmekazania
 
Mbona unakua sio mwelewa aisee,ameshasema mwanaume alisema mtoto wao wa pili si wa kwake,huko kichwani umebeba nin aisee
 
dah pole dada
 
Yawezekana wewe unakijua kiseme, nilishasema nina mengi ila siwezi eleza naona mmekazania
Ndio ueleze chanzo Sasa Cha jamaa kukukimbia ni nini ? Maelezo mengine sawa tumeyapokea okay turudi nyuma chanzo ni nini hadi akafikia maamuzi ya kukukimbia ? Huwezi ukasema hujui maana najua unajua Ila hupendi kusema ukweli, na hautaki ukweli ujulikane Ila picha mbaya ya wanaume kukimbiwa wanawake na watoto ndio unayotaka ionekane, Jambo ambalo sio sahahi kwa kuangalia kwa upana na kwa kina
 
Yote 9 Ila 10 mwambie aelezee chanzo Cha tatizo hadi akakimbiwa na mwanaume wake, km hasemi chanzo hii kesi inatupwa mbali haina mashiko maana yeye ni muongo haelezei mabaya yake anaelezea mabaya ya Mwanaume wake tu
Isitoshe kusema hujitambui [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Mbona unakua sio mwelewa aisee,ameshasema mwanaume alisema mtoto wao wa pili si wa kwake,huko kichwani umebeba nin aisee
Umeshikiwa akili nini ? Hio ni hearsay huelewi maana ya hearsay, hearsay evidence is not admissible (tho there are some exceptions) unaelewa maana yake ?
 
Wanawake huwa mnachekesha sana...yaani ugombane na mzazi mwenzako then ugomvi uuhamishie kwa watoto!! Kwanini umzuie baba watoto wako haki ya kuonana na kuhudumia wanawe??

Ni wazi ushawalisha sumu za kutosha hao watoto kuwa baba yao ni mbwa tu. Unawanyima watoto wako haki ya kumjua hata baba yao. Wanawake mnahukumu mambo kwa mihemko pasi na kutumia hekima na busara.


Kwanini usingemruhusu huyo aliyekuwa mumeo awahudumie watoro wake?
 
Yani wanaume bana story akileta mwanamke inayohusu ujinga wa mwanaume mnasema hamtaki kuhukumu bila kusikiliza upande wa pili, ila story akileta mwanaume inayohusu ujinga wa mwanamke wala hutasikia hayo mambo ya upande wa pili ni matusi na dharau tu kwa wanawake, seems ni either wanaume wanajiona innocent sana au wanajijua wana makosa ila wanaona kama makosa yao ni madogo na yanavumilika
 
Isitoshe kusema hujitambui [emoji706][emoji706][emoji706]
Wewe unajitambua nini hapo ulipo ? Nini unachojitambua kulishwa maneno ya uongo na yenye kupandikiza chuki kwa wanaume bila kueleza ukweli kwa kina ndio unaona umejitambua ?
 
Issue sio kusikiliza upande wa Pili, issue ni source ya mgogoro wao ni nini ? Story yake ipo vizuri Ila kwenye source kaficha code na hataki ujue we unamwelewaje amelenga nini hapo sasa km sio kutaka wanaume waonekane wote wanakimbia wanawake bila sababu, aeleze chanzo ni nini na hicho chanzo hajakieleza na kasema wazi hatokieleza sasa ndio nini ? Ina maana gani ?
 
Duh huna bahati kwahyo miaka 5 yote hujapata jamaa lenye utindio wa ubongo ukakaa nalo au nyie ndio mnajiita wanawake jeshi kubwa. Tafuta msaidizi utalala na watoto mpka waote mavuzi ohoooo endelea kujidai umeumizwa hutaki tena wanaume fungua macho ona mbele kitembeze kitwga uchumi ww kikalie kioze
 
Pale mwanamke anapomshauri mwanamke mwenzie, hongera kwa ushauri
 
Khaa yani kuna watu vitu mnaandika hadi unajiuliza huyu mtu anatumia kiungo gani kufikiri, kwahiyo huyo mume alipokuwa anawakimbia hao watoto na kusema kuwa mmoja siyo wake alitegemea nini, kwanini wanaume mnakuwa ni watu wa kutaka kufanya makosa, halafu wanawake wachukulie poa tu kana kwamba hakuna kilichotokea, hivi ushenzi wenu huwa mnaona ni mdogo siyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…