Nilijikuta naishi maisha ambayo sikuyategemea ila sina jinsi

Jamiiforum wangeweka utaratibu wa wao kudhibitisha identify ya mtu, kisha wanaoguswa wakaweza kumsaport mtu kwa account ya jamiiforum, wengi wanapitia magumu ambayo kwa kidogo mtu alichonacho kingeleta relief.

All in all pole sana dada angu.
@Moderator
 
Mwambie aelezee chanzo Cha mgogoro, kuna yule alihojiwa na VOA mumewe alimkata mkono wa kulia, akatoa kiganja kabisa, alipohojiwa dada alisema chanzo ni wivu wa kimapenzi na simu ndio iliyopelekea yeye kukatwa kiganja Cha mkono na kupigwa nusura kuuawa, sasa mwambie mleta mada aseme chanzo Cha mgogoro uliomfanya jamaa kumkimbia na kuepusha Shari ni nini ? Maana angebaki uenda tungekua tunazungumza story nyingine mda huu,
 
Vipi kama chanzo ni kibaya zaidi ya kukimbia?
 
Sasa mtu ameshakuambia hajawahi kumcheat mume wake wala hana tabia za hovyo ila wewe ndio unamlisha maneno na kumlazimisha aseme anazo, wewe unataka kuonesha kwamba wanaume wote ni watakatifu hakuna mwanaume anayeweza kukimbia ndoa hivi hivi lazima chanzo kiwe ni mwanamke, labda mtuambie kwanini wanaume mnapenda kujiona innocent sana na uniambie hii story ingekuwa ni mwanaume ndio kaleta kumshutumu mke wake ungeandika kama ulivyoandika hapa
 
Pole sana, kama ndio uelewa wako uko ivyo pole
 
Sihukumu ila wanawake acheni kuolewa nawanaume wanaopanga , hawana guarantee kuwa watakuwa nawewe siku zote za maisha Yako .

Kama hauna mwanaume ambaye hajajenga wewe kuwa single tu .

Maana anaweza kimbia usimwone na walio nanyumba angalieni kama kweli hizo nyumba nizao na mzae Kwa akili.
Maisha sio marahisi maisha ni magumu ila usijiongezee shida .

Maana niwewe tu watoto wanawajua sio baba kingine katika maisha Yako yote usilegee tafuta maisha Yako .

Tofauti na wanaume hii inasaidia kutoaibika unatakiwa uwe na second plan always sio unajisahau.
 
Aisee ...Mungu ?!?!
Kwa maelezo yake...kama amesema kweli ! Huyo mwanaume ni mpumbavu ..dada anastahili!
Kuambiwa mtoto sio wako Ndio uondokeniinyama hivo!?
 
Asilimia kubwa ya wanandoa wamepanaga bado labda umshauri awe na kipato chake maana hata mwanaume anaefurahia mke kuwa nyumbani bila kazi basi malengo ya maisha ni ngumu kufikia hasa kwa sisi wa vipato vya chini
 
Unaleta ubishi usiokua na maana1[emoji706]
 
Umeshikiwa akili nini ? Hio ni hearsay huelewi maana ya hearsay, hearsay evidence is not admissible (tho there are some exceptions) unaelewa maana yake ?
Mm nina mtoto ambae ninatoa gharama za ada tuu lakini huduma nyingine sitoi na hata hio ada nitakuja kusitisha hio huduma kutokana na tabia za mama yake kiburi na matusi,so usione namtetea huyu ukahisi labda sielewi hizi mambo,wanawake huwa wanazingua sana lkn hata baadhi ya wanaume huwa wanazingua balaa tena mwanaume ni mgeni k ndio balaa kabsa
 
Wewe unajitambua nini hapo ulipo ? Nini unachojitambua kulishwa maneno ya uongo na yenye kupandikiza chuki kwa wanaume bila kueleza ukweli kwa kina ndio unaona umejitambua ?
Wewe itakua umekimbia kuhudumia huko sio bure
 
Okay,let's say mwanamke ndio mwenye makosa,kama mwanaume ndio ubebe mpaka nguo za watoto na za mke wako uondoke nazo[emoji2369], hapo mm ndio namuona huyo mwanaume hana akili
 
Ndoa inatakiwa kulindwa kwa nguvu zote, mkivunja au mmoja kuvunja ndoa, madhara makubwa ni kwa watoto, ni shida na kilio, mimi niseme, mkiwa mnaishi ktk ndoa kuheshimiana, kuwa na utii, upendo, hekima, kuacha dharau, kuvumiliana sana, kujituma kujenga maisha ni lazima sio ombi. Sbb upendo au furaha au hekima haiji bure bure tu inajengwa na nyinyi katika ndoa.

Mkikosa heshima, hekima, uvumilivu na kuwa mkorofi au jeuri au kutojaliana, ndoa itakufa, na watoto wataumia bila sababu, sasa mara nyingi sio vema sana kutafuta kosa ni la nani hadi ndoa kuvunjika, kikubwa ni kuwasaidia watoto wasije pata mateso makubwa, sbb matatizo ya ndoa mengine ni ya ndani mno, yaliopelekea upendo na furaha kufa kabisa kwenye familia kwa sbb kadha wa kadha, sio jambo
rahisi kuongelea juu juu, ila ukweli mnaujua nyie wana ndoa, nini kimetokea hadi ndoa kuvunjika.
 
Hajawahi kumcheat wewe ulikuepo ? Aseme yeye chanzo sio wewe upike maneno ya kulishwa na yeye useme ndio chanzo, Kuna chanzo Cha ndani Cha mgogoro wao hataki kukiweka wazi na ameshasema hatoweka wazi chanzo hicho, ukiwa na akili ndogo huwezi kuelewa hilo
 
Okay,let's say mwanamke ndio mwenye makosa,kama mwanaume ndio ubebe mpaka nguo za watoto na za mke wako uondoke nazo[emoji2369], hapo mm ndio namuona huyo mwanaume hana akili
Kuna mengi yamesababisha yote hayo mwambie aelezee chanzo Cha mgogoro wao ndio utakapopata jibu, ukielezwa juu juu tu mwanaume ndie anaeonekana mbaya Ila akieleza chanzo nna uhakika asilimia 100 utaufyata mkia,
 
Pole Sana dada
Mtu akihitaji kukusaidia anafanyaje?

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…