Nilijikuta naishi maisha ambayo sikuyategemea ila sina jinsi

Acha zako wewe 5 years zishapita past is gone unaweza kurejesha jeraha kua ngozi ya awali bila kufanya upasuaji ?
Inawezekana Unamshauri ujinga mtupu mtoa Mada Kama anajiona matakatifu Mwambie aendelee hivyo Wakati mme wake kasema anaweza saidia Watoto wake so sioni tatizo hapo.
 
Sijaja kuhukumu mtu, ila nimeeleza kipande kidogo cha mapito yangu, kama unahisi nimekuja kujisafisha au kuchafua mtu pole.
achana nao hao siku zote huwa na neno la kukebehi. Wewe endelea kupambana na si muda Mungu atakufungulia mpaka utashangaa.

Huyo mwanamme anasubiri watoto wamekuwa halafu ndiyo anajifanya yeye ni baba wa kimataifa.

Wanaume wa aina hiyo ndiyo wazungumzaji wakubwa humu.
 
Nimetangulia kusema kuwa nimeandika kipande kidogo sana cha mkasa wangu kuna mengi makubwa ambayo sijasema na sijasema kwa sababu maalum, ungejua mkasa mzima natumai usingesema habari za kumsamehe,

Nilishamsamehe wala simhukumu, na yeye hana nia ya kutoa support mpaka akutane na mimi labda kwa kuwa sikueleza bayana kukutana kwake ni kwa namna gani si kuonana tu bali tukutane tukiwa wawili nadhani umeelewa maana yake. Kitu ambacho siwezi ruhusu hata siku moja kitokee.
 
Pole sana lakini wakati mwingine kusikiliza habari hatuwezi balance mzani japo wakati mwingine nyie wanawake aisee! tunaishi kwa kuwavumilia sana hasa hasa mwanamke akianza kiburi aaah! Huwa inakata stimu sana, any way pole sana
 
Mkuu kaeni chini mmalize tofauti zenu , unawatesa watoto bure na usitegemee kufanikiwa haya maisha bila kuwa na ushirikiano na watu
 
Inawezekana Unamshauri ujinga mtupu mtoa Mada Kama anajiona matakatifu Mwambie aendelee hivyo Wakati mme wake kasema anaweza saidia Watoto wake so sioni tatizo hapo.
Kashasema ana mwanamke mwingine na anaishi nae, aliwasiliana akihitahi kuhudumia watoto sio kumhudumia mwanamke, elewa scenario kwanza ndio umwage maelezo, kwa kuangalia kwa kina Cha ndani kiini Cha mgogoro ni watoto, huyu mama anataka watoto awalee mwenyewe bila msaada wa mwanaume wake sababu ni machungu ya kukimbiwa kwa hio leo hii hauwezi ukamwambia aishi na mtu ambae aliwahi kumkimbia anachoona ni kukimbiwa mara ya pili
 
Hongera kwa hukumu yako, hajawahi kufuma chochote, na sina tabia chafu kama unazonihukumu nazo. Pole kwa kuwaza mawazo hasi.
 
Ndio maana Kila siku nasema, Tuanzisheni Kapu la JF , ambalo Ndani yake tutadumbukiza Mia mia tu .

Kwa ajili ya watu kama hawa, Mtoa Mada ni Mama mpambanaji sana ,mwenye uchungu na wanawe .



Niwaombe sana WanaJF wanaume Kwa Wanawake wenye Fursa nyingine za Kazi, mmfikirie , mtoa Mada alipata kazi, Kwa Uwezo mkubwa wa akili na uthubutu Alonao, Hatokaa kuomba Kodi.
 
Anataka aonewe huruma sio
Ndiou

Mnamponza tu huyo Mwambie amruhusu mme wake alee watoto wake Sasa hataki sapport then analalamika ..
 
Hongera kwa hukumu yako, hajawahi kufuma chochote, na sina tabia chafu kama unazonihukumu nazo. Pole kwa kuwaza mawazo hasi.
Huko nimefika ili kujaribu kufumua mafaili lakini unakataa kua sio kisa au chanzo cha mgogoro wenu, Sasa wewe unahisi chanzo cha yeye kukukimbia ni nini ikiwa kwamba unaamini yeye sio kichaa na ni mtu ulimchagua mpaka ukifika uamuzi wa kumzalia watoto Ina maana yupo timamu sio chizi, chanzo cha yeye kukuacha na kukukimbia ni nini, kiburi, majivuno, kujiona, majisifu, kutokumsikiliza au nini ?
 
Sijaja kuhukumu mtu, ila nimeeleza kipande kidogo cha mapito yangu, kama unahisi nimekuja kujisafisha au kuchafua mtu pole.
Kama mzazi mwenzio kaonyesha nia ya kiwasaidia watoto wake kwanini unamzuia? Huoni kama unawanyima haki yao ya msingi
 
I
Hongera kwa hukumu yako, hajawahi kufuma chochote, na sina tabia chafu kama unazonihukumu nazo. Pole kwa kuwaza mawazo hasi.

Anasema hajaleta kulalamika au kuomba msaada ameleta tu km story fupi ya maisha yake, hataki msaada wako wowote hata wa ushauri wewe soma toa pole pia kushoto
Aaah sawa Basi hatuwez kuamini hiz habar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…