Nilikopa milioni 10, siku naona salary slip yanipasa kulipa 24m jicho la upande wa kushoto lilijifunga kama dakika 40 hivi. Nilijua limeparalyse!

Hesabu zinakataa mkopo wa 10m kurejesha 24m hata kwa miaka tisa, kwa riba zetu 16% Sasa sijui wewe ulikopa benki gani na kwa miaka mingapi?
 
Wala siyo kweli. Ina maana hukujaza Mkataba mpaka usubirie slip? Maana mkataba huainisha kiasi chote unachopaswa kulipa.

Na hakuna benki Tanzania inayotoza riba ya zaidi ya asilimia 100. Hakuna.

Hii ni Chai.
Chai vipi?
What if kakopa kwa muda mrefu tuseme 5-8 years?
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 duh
 
Mm nlikopa kijinga hivo hivo mil 30 nkatumpia kwa kilimo cha machungwa nkqlimq kisasa ekar 20 baada ya miaka 3 nkaanza vuna nkajisemea hebu nifute mkopo maana nlipata mteja wa kununua shamba mil 58.kwenda naambiwa bado nadaiwa mil 34 heeee yaan na kulipa 3 yrs kwa makato
 
Unafanya kazi benki gani
 
U Upo sahihi Mkuu.

Ulipaswa ulipe jumla ya Tshs. 7,829,319.24.


Na makato Kwa Mwezi yalikuwa Tshs. 217,481.09.

Jumla ya Riba Kwa mkopo wote ni Tshs. 1,729,319.24.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…