hapana usinipige nahisi ntazimia kabla kibao hakijatua mwilini, mie ni muoga sana, usiku huu wa leo natayafanyia kazi maneno yako na ya yule dada sijashika jina lake ila ameshikilia gauni lake kwa pembeni. Nashukuru sana maana mnenifungua ubongo uliolala.
Kongosho bado hujaona tu makosa ya mumewe??Kwanza, acha kujionea huruma kuwa unaonewa, sababu huyu mwanamme hakukubaka, ulimpenda na mkakubaliana.
Na usitake kumbadili yeye, bali wote wawili mbadilike ili kuweza ku-accomodate one another.
Hebu niambia makosa yake makubwa kabisa yanayokukera, nitakuambia kitu.
umechoka kwani huwaga anakupa nyumba ubebe kichwani??
nikusomavyo wewe ni mdeki jambo ambalo hakuna mwanaume aliye rijali anaweza kulivumilia. kwa jins unavyoandiika ni yule mtu mwenye gubu ambaye kosa la leo utalisema hadi mwaka kesho unakumbusha na kukumbusha hai mtu anakerekwa.
mumeo kushinda mitandaoni ina maana kwamba mitandao inamfarijikuliko wewe. na hapa unanipa clue kwamba grand moms rearing was very poor interms of building a self motivated person person who can think and act accordingly. wewe kuwa peke yako peke yako umejiwekea cluster ya kutokuweza kuish na mtu na haya ni matokeo ya maisha ya upweke ya bila kuwa na experience ya kuvumilia na kutatua matatizo yajayo kwako yasababishwayo na mtu baki.
hata uondoke huyo Mungu utakaye mwmba hawez kumuumba malaika akupe uish nae milele, bdo utaishia kupata mwanadamu tena ambaye anaisha hapa hapa duniania tena unia hii hii yenye ambaye shetani aliyeasi mbiguni alitupwa na leo hii anazunguka zunguka kuwapoteza watu.
be prudent an 30 yrs lady unatakiwa uwe umeshajitambua kiasi cha kuelewa ni njia ipi bora ya kutatua matatizo yako na sio kuja kumtaliki mume hapa. namwonea sana huruma mwanao manake huyu atakuwa muhanga wa akili yako isiyotaka kuwaza kwa mapana ila unafikiria tu urefu wa pua yako.
hebu usomapo post hii kaa chini jifkirie kama kweli umetena sahhi kuja kumtaliki hapa, na pia jifikirie kama kweli unaweza kukutana na mwanaume akamvumilia mwanamke wa aina yako.
na kipimo cha mapenz ya dhati sio mapugufu ya mwenzi wako manake kwa kufanya hivyo hutaweza kuyarekebisha.
kipimo cha mapenzi/upendo ni uvumilivu, utu wema, moyo wa kiasi,kutokuhusudu, kutotakabari and the like
Uchungu tayari nini?
nakuja kukushika miguu ngoja nivae gloves.
yani kama vile sisi tusivyopenda wale sijui ndo tunawaita mamas boy hata wanaume hawapendi papaz girl
unaweza kuamini hupendwi hujaliwi hufanwyi nini sijui kumbe mtu tu anataka a grown up woman in you!\
ila,
historia ya bidada na yenyewe has some charm on this !
huyu mamii mama yake alimwacha akaolewa na mudhungu,AKAJIHISI KUKATALIWA
huyu mamii akalelewa na bibi,bibi wa watu wacha adekeze,hajakaa vizuri bibi akafariki maskini,AKAJIHISI AMEACHWA
huyu mamii aliona labda awe na mwenza,mwenza nae ndo hivyo hardcore ,AKAAMINI HAPENDWI
huyu mamii aliamini familia ya mumewe itakuwa ya kwake,kauta familia ni melanchony kuliko maelezo,AKAHITIMSHA HANA THAMANI
(angalia namna anavyokomaa na mwanae,sijasema ni mbaya)MAANA NDIYE ANAAMINI NI WAKE PEKEE
Uchungu tayari nini?
nakuja kukushika miguu ngoja nivae gloves.
sasa kama umenielewa msome vyema Kongosho kisha rui anza kuyafanyia kazi haya. wewe uliwa hivyo hivi unategemea mwanao aweje si atakuwa kuzidi wewe??
manake imebii nicheke mama anatoa talaka mtandaoni mtoto si atatolea talaka gazetini??
Wiyelele ameisoma hii?kuringa ni moja ya tabia zangu bila hata ya hiyo picha kuwa mimi naringa tayari.
Hapana hakunichumbia jamvini alinifahamia kanisani ila huku mitandaoni ndo anakoshinda na kulala, lengo langu message imfikie na asinitafute asiponiona nyumbani kwake maana naondoka.
we unafikir naitwa mwalimu wa darasa la IIB kwa masikhara!unavyoongea ni kama umeandika yaliyo moyoni mwangu daaah!!! leo usiku ninahitaji kufanya maamuzi ya hali ya juu ambayo yanatokana na michango ya humu jamvini, asanteni sana.
Message zangu hajibu simu yangu hapokei busy mitandaoni, nimerusha message hii kwenye mitandao yote anakoshinda ili ujumbe umfikie na ajue kuwa nimefanya maamuzi na niko siriasi.
Huyu anazalia juu, ukishika miguu umekula hola
unavyoongea ni kama umeandika yaliyo moyoni mwangu daaah!!! leo usiku ninahitaji kufanya maamuzi ya hali ya juu ambayo yanatokana na michango ya humu jamvini, asanteni sana.
Uchungu tayari nini?
nakuja kukushika miguu ngoja nivae gloves.
Ngoja nikuambie, huwezi jifunza haya yote kwa siku moja
Unahitaji uzoefu, jipe nafasi ya kujifunza taratibu na kupona vidinda vyako vya nyuma. Ukitaka uweze yote haya kwa siku moja you will break down.
Ila ondoa wazo la kukimbia kwa mmeo kwa kutoroka kama kimada, be proud of yourself, jithamini kwanza kuona hata siku ndoa hiyo ikikoma utaondoka kwa mmeo machana with your head high.
Kongosho and gfsonwin,jaribuni kuueleza ukweli kwa upendo,ukweli bila upendo unaumiza pia,halafu msizichukulie poa juhudi ambazo mkunde amefanya,kama kwenda kukaa kwa wifi mwaka mzima alafu mwanaume akutafuti me ni mwanaume ila hili nalo linatisha,amesema amechukua muda wa mwaka mzima kujifanyia tasmini,akarudi akakubali kushuka for three years mpaka hapo my dia hongera,msisahau hana background like wengine ukipata shida ya ndoa unaweza ukamweleza mama yako mkalia pamoja akakuombea then mkasonga mbele.hapati haki ya ndoa na security kutoka kwa mwanaume,nachelea kusema usikute mume wake alimuoa ili apate kirahisi mkopo bank.CHAMSINGI alichosema kongosho ni swala la emotional la huyo mwanaume kama ni maombi basi yaanzie hapo cause kwa mwanaume wa kawaida akishaanza familia hata ikiwa na matatizo kunasiku hata rudi nyuma hata kwa gia ya mtoto.Katika haya yote ambao atujaoa tuna mengi ya kujifunza hapa