Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

Nilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.
🤣🤣😂
 
Mkuu hongera Sana
Nijambo kubwa Sana katika hii dunia kuheshimu pesa yako ata sio yako🙌
 
Isee mtoto wa Secondary unajua kuedit tena unapata n wazo la kwenda stationary iseee hii nchi inanishinda..

sasa mtu km huyu umpe ukurungenzi si hiyo ofisi itajuta..
 
Nakumbuka Dumi concert ya p.squre hapo niko six.bwana wee nikapata ka toto ka kishua tukaenda kutusua ada kwenye part mbaya zaidi mtt hakunipa tunda huku na kule kurudi shule tukapigwa pa uzuri tulikua wengi.kureplace ada nilienda kuweka bond tairi za gari za mshua na kuanza tubiashara shule yaan mm usiku natoroka naenda kuwafatia mazaga madent kama kiepe biscuits nk.Mwisho wa siku nilirudisha ada yote.
 
Ulipambana mkuu
Kurudisha Ada ukila sio Jambo rahisi
 
Hiyo kama sio jkt,itakuwa makongo hiyo😂
 
Kura Bata na masomo wapi na wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…